Umeshawahi kufatilia kula tunda bila mafanikio?

Umeshawahi kufatilia kula tunda bila mafanikio?

edward93

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2015
Posts
565
Reaction score
1,358
Kama sio mgeni na jamii forum, utakubaliana na mimi kuwa kumekua na utitiri wa nyuzi nyingi watu wakijinasibu kula matunda kilaini, lakini ni imani yangu kuwa lazima kutakua na upande ambao wote humu tumewahi kuupitia na pengine atujawahi kushare mahali na ni imani yangu pia sio wanawake wote ni warahisi kuliwa.

So kwa uzi huu nawakaribisha wadau ambao wamewahi kufatilia kula papuchi kwa mbinu zao zote na bado wakatoka kapa!

Nikianza na mm mwnyewe! kuna manzi nimefahamiana nae huu mwaka wa tatu sasa, wakati nkutana nae kiukwel sikupata hisia za kimapenzi(crush on her) ila tulianza kuzoeana kidgo kidgo baadae tukawa karbu sana (tunapigiana simu na sms kila dk)..kiukweli nikàanza kupata hisia za kumtamani (ana shape nzur hasa) na kikubwa kilichonipa hope ni kuna siku nlikua nacheza game kwnye simu ya best ake mara text yake ikaingia cjui nn kilinituma bas nkaifungua then kuchek vizur nikaona sms mbili juu kuna jina langu kwenye text zao bas nikapata iga ya kusoma convo zao (kumbe dogo ananielewa na yy na anashangaa why simuapproach) bas kidume nkasema huyu nalala nae mbele na principal zangu demu akishanionesha interest mm sitongozi naforce mazngra nimle tu! basi nkaanza kumtengenezea mazngra ya kumla aisee hapo ndio mzki ukaanza siku ya kwanza tunatoka mahali akaomba kupajua kwangu ila siku hyo alikua high hgh alikaa dk kumi tu akaondoka,

Siku ya pili kaja geto(atuishi mbali sana so kuja kwngu anchukuliaga kirahis tu) mzee nmetumia trick zangu zote but nmeishia kiss tu tena la shavu, siku ya tatu kaja kufata staff fulani hivi za kazi nkaishia kula romance na touches but nguo avui tena anachange mood dah mzee nkaona hiki kisiki bas nkawa cool nae tu mpka siku nkambananisha mahal ndio akanmbia kuwa awezi sex na mm mpka niwe commited na yy(kitu ambacho mm siwezi) na cha pili yy ni virgin(ana miaka 24 now na hili la yy kuwa virgin nlishaliona kwnye text zake zile nlizosoma kwa shoga yake) na cha tatu hyo sex yenyewe mpka nimuoe kwanza [emoji3]

Pamoja na ubaharia wangu wote kwa hiki chuma nilinyoosha mikono ila ipo siku yake! ntaleta mrejesho[emoji1787]

Kama na ww yalishakukuta haya embu share na wakuu.
 
Rudi instagram

Wewe mpumbavu mimi na wewe nani anatakiwa kurudi instagram?

IMG_3493.JPG



Haya kaangalie mimi nipo humu toka lini
 
[emoji1787][emoji1787]umeandika kwa hisia sana! inshallah naingia chamani soon
edward93, Ukiwa na mke unajilia kiulaini kabisa muda wowote unaotaka wewe endapo tu hali na mazingira yanakubali, tena mara nyingine unapewa bila ridhaa yako huku ukibembelezwa kwa mahaba mazito[emoji23][emoji23]
 
edward93, Ukiwa na mke unajilia kiulaini kabisa muda wowote unaotaka wewe endapo tu hali na mazingira yanakubali, tena mara nyingine unapewa bila ridhaa yako huku ukibembelezwa kwa mahaba mazito[emoji23][emoji23]

Acha mbwembwe ndoa yako bado changa, maliza fungate akili zitaanza kukurudi.... pitia hapa uone wakongwe ndoa zinavyowatoa kamasi.


 
edward93, Ukiwa na mke unajilia kiulaini kabisa muda wowote unaotaka wewe endapo tu hali na mazingira yanakubali, tena mara nyingine unapewa bila ridhaa yako huku ukibembelezwa kwa mahaba mazito[emoji23][emoji23]
Nyakati zitafika hata huyo mkeo atakuwa anakunyima, tena anaweza kukupa kwa ratiba, utashangaa mkuu.
 
edward93, Ukiwa na mke unajilia kiulaini kabisa muda wowote unaotaka wewe endapo tu hali na mazingira yanakubali, tena mara nyingine unapewa bila ridhaa yako huku ukibembelezwa kwa mahaba mazito[emoji23][emoji23]
Wewe si umeingia ndoani juzi tu hapa?

Haya bwana we endelea kupewa bila ridhaa, time will tell.
 
edward93, Ukiwa na mke unajilia kiulaini kabisa muda wowote unaotaka wewe endapo tu hali na mazingira yanakubali, tena mara nyingine unapewa bila ridhaa yako huku ukibembelezwa kwa mahaba mazito[emoji23][emoji23]
Haha Mume wa mtu
 
Wa hivyo wazuri...
Acha kukata tamaa mapema..
Izo kachumbali zinapata motto taratibu kama mchanga vilee na kupoa ni kazi sana...
Wee nenda nae mdo mdo ...
Ku kata Tamaa ni mwiko Mwambafai..
Rudisha majeshi broo
Pm namba tukuwekee njia sawa
Wee uterezee tuu
 
[emoji3][emoji3] principal baharia
Wa hivyo wazuri...
Acha kukata tamaa mapema..
Izo kachumbali zinapata motto taratibu kama mchanga vilee na kupoa ni kazi sana...
Wee nenda nae mdo mdo ...
Ku kata Tamaa ni mwiko Mwambafai..
Rudisha majeshi broo
Pm namba tukuwekee njia sawa
Wee uterezee tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom