Recent content by Mtokambali

  1. M

    Zoezi la ukusanyaji wa taarifa za watu binafsi mitaani

    Watoe tangazo rasmi, itasaidia sana. Dunia imebadilika, mtu mwenye taarifa zako za kina anaweza kukufanyia uhalifu wa kimtandao apendavyo.
  2. M

    Zoezi la ukusanyaji wa taarifa za watu binafsi mitaani

    Nimeshuhudia baadhi ya maeneo nchini kuna zoezi la kimya kimya linalofanywa na watu wanaojitambulisha kwamba wametokea Serikalini kwa maelezo kwamba ni usajili wa makazi. Wanakufuata wakiwa na mwenyekiti wa kijiji chako au kiongozi mwingine wa kijamii kutaka uwatajie namba ya LUKU na namba ya...
  3. M

    Kongole Rais kwa kumuondoa Abdu -Razak Badru pale PSSSF

    Ama kweli watanzania sio wafuatiliaji, bure kabisa! Badru kapelelwa pazuri zaidi - Ngorongoro. Na hii taarifa ilikuwa ktk press release ile ile ya kumuondoa PSSSF. It's unbelievable, watu hawana muda wa kuzingatia mambo
  4. M

    Jinsi ya Kuedit Text au emoji liyoituma WhatsApp Kimakosa au bila Makosa, Ndani ya dakika 15.

    Kwangu haijawahi kutoka/kutolewa. Edit function ipo kwa zaidi ya mwaka sasa. Na ni hizohizo dakika 15 ndio ina-function. Ninaitumia kwenye ios na kwenye android. Tell us what's new? Usikute wewe ndio umechelewa kujua kwamba hiyo huduma ipo>
  5. M

    Hili suala la uhamisho kwa watumishi linashangaza sana!

    Mwenza = Spouse Bangi addiction is real :D
  6. M

    Kisa cha RC Namfua na Watawa huko Kilimanjaro

    Asante kutuhabarisha
  7. M

    Pitia hii picha japo kwa dakika 1, kisha uendelee kumwomba Mungu azidi kukupa uhai

    Wauzaji wa jumla wanauziwa Hennesy moja? Pepsi kwa bei ya jumla iuzwe 6,000?! Kajipange upya halafu urudi. Proforma Invoice mimi nailinganisha na bili. Inatolewa ili mteja aelewe anachodaiwa, halafu ukilipa unapewa risiti.
  8. M

    Marafiki wa kalamu

    Mimi ni ke. Ila jinsia hazina uhusika wowote kwenye hili zoezi
  9. M

    Marafiki wa kalamu

    Kwa zama hizi mawasiliano ni wazi yatakuwa kidigitali. Ila bado kuna mengi ya kiurafiki yanaweza kufanyika nje ya TEHAMA mfano kutumiana vitabu na machapisho, kupeana michongo n.k I believe life is all about making the world a better place through sharing and cooperation. Urafiki wa namna...
  10. M

    Marafiki wa kalamu

    Enzi zetu wakati tunasoma sekondari hili jambo lilikuwa maarufu hata kulikuwa na matangazo magazetini wadau mbalimbali kutafuta marafiki wa kalamu yaani rafiki wa kuwasiliana kwa njia ya barua, postikadi n.k. Leo nimejikuta naukumbuka huu utaratibu ambao uliniwezesha kujipatia marafiki...
  11. M

    Pele kuzikwa ghorofani

    Ili awahi kufufuka au [emoji56]
  12. M

    Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

    Kuanzia msingi, Boma Hadi mbao za kenchi anapata. Then atafute hela za Bati na finishing
  13. M

    Je! "Mbawa" Kutoonekana Hadharani,Tuamini Ule Uzushi?

    Itakuwa yupo nyumbani kwake. Huenda kaamua utaratibu wa "Low Profile"
Back
Top Bottom