voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,943
Ni muda sasa,Kwamba Mwamba haonekani kama ilivyokuwa ada!
Ni muda sasa tangu Mnyo-kaa anaonekana busy mikoani.
Bila mwenye- Ukuta wake,kama ilivyokuwa ada!
Kuna ki-uzushi uzushi kilitokea wiki mbili yapata sasa!
kwamba "Siha" ya "Mwamba" wa "Siha" imetetereka kidogo kutokana na hili tatizo la Utamu kuzidi mwilini( ambalo kwa sasa limekuwa tatizo sugu)na kupelekea In-Soil-Inn ya mwili kuzidi kiwango.
Je!
Ukimya huu ni Dalili za Ufundi wa "Mungu" au?
Muda ni Shahidi Mzuri na Muhimu.
Tuishi kwa kuombeana Mazuri Daima.
Wenye kujua mtatujuza sisi ambao ni maajuza!
Alamsikhi!
10101
Ni muda sasa tangu Mnyo-kaa anaonekana busy mikoani.
Bila mwenye- Ukuta wake,kama ilivyokuwa ada!
Kuna ki-uzushi uzushi kilitokea wiki mbili yapata sasa!
kwamba "Siha" ya "Mwamba" wa "Siha" imetetereka kidogo kutokana na hili tatizo la Utamu kuzidi mwilini( ambalo kwa sasa limekuwa tatizo sugu)na kupelekea In-Soil-Inn ya mwili kuzidi kiwango.
Je!
Ukimya huu ni Dalili za Ufundi wa "Mungu" au?
Muda ni Shahidi Mzuri na Muhimu.
Tuishi kwa kuombeana Mazuri Daima.
Wenye kujua mtatujuza sisi ambao ni maajuza!
Alamsikhi!
10101