Watu wanashindwaga kuelewa juu ya kuoa na kuolewa, ni jambo zuri sana na ni mpango mzuri sana wa MUNGU ili mwanadamu asiwe masikini Bali awe tajiri maana katika Mwanzo 1:26-29 imeandikwa , akawabarikia, ina maana wakiwa wawili na si mmoja.
Pia kwenye mhubiri 4:9-12, imeandikwa , Afadhali kuwa...