venuss
Senior Member
- Jul 2, 2016
- 116
- 291
- Thread starter
- #21
I tried to my level best kujichunguza lkn mambo hua yale yale,inauma sana mkuuTouching. .... ila ningekushauri kuwa labda ungeanza kujitathimini hasa kwa vile vitu ambavyo hao wenza wako huwa wanavilalamikia kutoka kwako, na hasa mnapokuwa na kutokuelewana. Inaweza ikawa njia nzuri ya kuanzia.