Why me? Kila mahusiano napitia magumu

Touching. .... ila ningekushauri kuwa labda ungeanza kujitathimini hasa kwa vile vitu ambavyo hao wenza wako huwa wanavilalamikia kutoka kwako, na hasa mnapokuwa na kutokuelewana. Inaweza ikawa njia nzuri ya kuanzia.
I tried to my level best kujichunguza lkn mambo hua yale yale,inauma sana mkuu
 
Sometimes uwe unajaribu na maombi aiseee.

Isije kuwa wajanja wa dunia hii washakuona una nyota nzuri wakawa washafanya yao.

Vifungo vipo , tena vibaya sana.

Kuna mchezo siku hizi wa kuchafua uso wa mtu, omba hio isiwe ndio uliyofanyiwa.

Omba sana Mungu aiseee, kama huwezi tafuta mtu akusaidie katika hilo.
 
Una tatizo....unayapa mahusiano too much attention
jaribu ku have fun kidogo
akija mtu hata unamkubali mchukulie kawaida
usi invest a lot hayo mahusiano
nenda taratibu tu......

wanasema love comes when you are not looking for it...
She just need somebody right now..the monsters are running inside of her..

tone is very emotion and
she sounds hopeless
You just Go n' Get
Mimi nina mke tayari
Wish i had the right words to say..ninashindwa.

Just be patient..it is never late! Don't rush your blessings.
 
Sometimes uwe unajaribu na maombi aiseee.

Isije kuwa wajanja wa dunia hii washakuona una nyota nzuri wakawa washafanya yao.

Vifungo vipo , tena vibaya sana.

Kuna mchezo siku hizi wa kuchafua uso wa mtu, omba hio isiwe ndio uliyofanyiwa.

Omba sana Mungu aiseee, kama huwezi tafuta mtu akusaidie katika hilo.
Nashukuru sana ndugu yangu kwa ushauri
 
Pole my..i know how you feel jaribu kwenda kwenye maombi huenda Una jini linalo fukuza wanaume
 
Una tatizo....unayapa mahusiano too much attention
jaribu ku have fun kidogo
akija mtu hata unamkubali mchukulie kawaida
usi invest a lot hayo mahusiano
nenda taratibu tu......

wanasema love comes when you are not looking for it...

The Boss mi nacho fahamu nikuwa kama una mapenzi ya kweli huna sababu ya kumbania uliempenda I mean unapohitaji kuwekeza kwenye mapenzi wekeza kwa nguvu na akili zako zote. Mapenzi ni ofisi kama ofisi zingine.... sasa kwa ishu ya dada yetu mi nadhani awe mtulivu,na ondoa kumbukumbu zote mbaya kichwani anza kwa upya. Wakati mwingine watembelee wazee wambie shida yako maana kuna marafiki wa siku hizi (shoga zako) sio kabisa...
 
Venuss , kwanza napenda kukupa hongera kwa kiwekezo alichokujalia MUNGU wa ELIYA yaani ninamaanisha nyota an kipawa cha mafanikio, na ndiyo maana mwanaume utakaye kuwa naye lazima afanikiwe na akiachana na wewe lazima aloose.
Sasa kwanza usikate tamaa kabisa, cha muhimu mtangulize MUNGU naye ni mwaminifu atakupa aliye wa kwako peke yako.
Usijari kwamba miaka inaenda an vipi, na napenda ujue kwamba yao wanaokuacha uenda siyo wako, pili jaribu kujichunguza tabia zako . tatu kagua jina lako limetoka kwa nani , yaani umerithi jina kutoka kwa nani katika ndugu na watu wenu wa karibu.
Ukishanijibu nitakuja na majibu yako na mambo yako yatakuwa mazuri sana.
 
Mm naamini your right choice bado hajaja! Muombe Mungu sana utafanikiwa! Kitu kingine ebu jaribu kujichunguza na ujaribu kuwadadisi hao waliokuacha ili kupata mawili matatu japo najua wanaume walio wengi humuacha mtu bila kumwambia matatizo
 
Habari za jumapili! Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwa hichi kinachonisumbua kila siku....
Jinsia yangu mm ni ke, lakini ktk haya maisha ya mahusiano nmekua nikipitia magumu hadi najihisi labda mm niko tofauti......

Nmejaribu kua kwenye mahusiano ya kimapenzi lkn hakuna ata uhusiano mmoja ambao unanileta positive impacts ingawa kila mwanaume nnae kutana nae hua anaonyesha kuvutiwa na mm in all aspects(kitabia, upole, heshima) na mambo mengine, but at the end of the day naishia kuumia.

Na kwa bahati mbaya zaidi wote kimaisha wanakua wako chini lkn hua najitahidi kutoa support hadi mtu anafikia mafanikio, ila akishafanikiwa kama ni gari atapanda mwingine na mm naishia kuachwa..... Na ikitokea nmempata ambaye yuko well organized anakua anaonyesha hana imani na anahisi nmempenda sababu ya vitu ingawa sio kweli kabsaa najikuta naishia tu kuumia...
Na kitu kingine kinachoniumiza zaidi wakishaachana na mm baada ya mda wanaanza kunisumbua na kudai I was a right person na hii hutokea kwa wote..... Hichi kitu kinaniumiza, mbaya zaidi ata kama mtu kaoa still anakua maswala yake ya maisha atahitaji mm ni mshauri...

Naumia sana ndugu zangu natoa machozi kila siku, Natamani ifike siku Mungu anione na mm nmpate atakae tambua nafasi yangu.... Kuna mda natamani nizae tu mtoto nisahau habari za ndoa lakini naona ntakua naidanganya nafsi yangu kuishi maisha ambayo sikuwahi yawaza....

Naamini humu kuna wetu wengi wenye busara watanisaidia kiushauri nn cha kufanya, naogopa sana kukata tamaa lkn najiona ndiko nnakoelekea...

Kama nitakua nmeandika vibaya am sorry...
Karibuni!!
Pole sana imani yako ni mhimu kama mkristo kimbilia kanisani unaandamwa na roho za kukataliwa ila nikuombe kama unamtegemea Mungu hakikisha unakuwa msafi kiroho.

Mungu afanyi kazi na watu wachafu hasa wa roho na mwili omba bila kuchoka huku ukibadili mtindo wa maisha hasa maisha ya kijinga km ulevi, uzinzi, kuishi mitandaoni na kwa taarifa yako wanaume tuliowengi hatupendi wanawake wanaojifanya wakisasa sana mara kila mtandao wa kijamii upo unapenda disco na wanaume wengi hatupendi wanawake wa hivyo hasa kwa kuoa.
 
Jaribu wanaume ambao ni "Mashahidi wa Yehova"

Hawajui kutenda msichana hawa hata uweje!

hahahaha alikudanganya nani wewe....mashahidi wa yehova nao wanatendana bwana ndio maana kwenye dini yao kuna kutengwa pale unapovurunda na tena ishu namba moja ya kutengwa kwa mashaidi wa yehova ni watu kugegedana
 
Una tatizo....unayapa mahusiano too much attention
jaribu ku have fun kidogo
akija mtu hata unamkubali mchukulie kawaida
usi invest a lot hayo mahusiano
nenda taratibu tu......

wanasema love comes when you are not looking for it...

love is about knowing what u want...its as simple as that.
 
Venuss , kwanza napenda kukupa hongera kwa kiwekezo alichokujalia MUNGU wa ELIYA yaani ninamaanisha nyota an kipawa cha mafanikio, na ndiyo maana mwanaume utakaye kuwa naye lazima afanikiwe na akiachana na wewe lazima aloose.
Sasa kwanza usikate tamaa kabisa, cha muhimu mtangulize MUNGU naye ni mwaminifu atakupa aliye wa kwako peke yako.
Usijari kwamba miaka inaenda an vipi, na napenda ujue kwamba yao wanaokuacha uenda siyo wako, pili jaribu kujichunguza tabia zako . tatu kagua jina lako limetoka kwa nani , yaani umerithi jina kutoka kwa nani katika ndugu na watu wenu wa karibu.
Ukishanijibu nitakuja na majibu yako na mambo yako yatakuwa mazuri sana.
Asante... Hayo mengine na tabia nmeyafanyia kazi sana lkn bado kuna ugumu... May be mda wangu haujafika bado
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom