Looking for male friend

Looking for male friend

Natafuta rafiki wa kuchat nae
Awe mature
Age 30 and above
if interested ni PM
mh mtaani kwako marafiki wa kiume wenye hizo sifa hamna..au unatafuta kupangiwa chumba but any way ukikosa niPM
 
Naogopa kuPM kwa sababu baadae huwa mnakuja kutuumbua kwa kutusema na kuanika screenshot zetu za conversation hapa!
 
Kwani hapa hamChat mnafanya nini????.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom