Duu! kweli CDM kina wenyewe naona mkanganyiko wa mambo kweeli, siasa, personal issues, unyanyapaa! ustaarabu karibu na zero, wapo wachache sana ndio wastaarabu kuanzia viongozi hadi supporters; hivi wakichukua nchi itakalika kweli. Kibonde is so tallented, he can view things in 360 degrees...