REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Mwachen Ngwea apumzike...
Who told you kuwa ukifa dhambini unakwenda kupumzika?!!Mshara wa dhambi ni mauti tena ya milele motoni,
msijidanganye na lugha yenu ya kipuuzi ya R.I.P,hakuna mtu anakwenda kupumzika kama anafia dhambini,
mnataka kwenda sehemu nzuri baada ya kufa Mungu anasema muache dhambi mumpokee Yesu ili muende
hiyo sehemu nzuri hakuna namna nyingine ya kupumzika hata mngezikwa na dunia nzima