Mkuu
Anna Tibaijuka nasapoti hoja yako ila kwa mawazo tofauti!
Suala la masterplan ni suala la serikali inajenga ama property developer? Ukiangalia picha hapo chini ni mji wa mwanza, watu wanakimbilia milimani na matokeo yake miundombinu inakuwa shida kuwafikia na kuongeza makazi holela.
Ninachoomba suala la upimaji wa ardhi ipewe sekta binafsi na serikali ibaki kuwa wasimamizi wa zoning. Sababu kubwa ni urasimu uliopo serikalini..viwanja vikipimwa mwaka huu mnaweza kukaa hadi miaka 3 hamjui nini hatma yenu nami ni mmoja wa wahusika coz toka mwaka 2010 kuna viwanja vilipimwa mpaka leo jiji wapo kimya.
Mimi nashauri hiyo kazi wapewe property developers