Trump aloshauriwa na wataalam kuwa aisitie mguu Iran hakutaka kusikia, sasa anatafuta mlango aa kutokea na Iran kasema hakuna, tuzichape tu. Hapo patamu
Wakuu heri ya jumapili,
Kwa mara ya kwanza nimefika mkoa wa Ruvuma aka Songea.
Naomba kujua maeneo muhimu nifike ili nisijilaumu nikiyajua baada ya kurudi nilikotoka!
Hayo tu wakuu, natanguliza shukrani za dating.
Uzi tayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.