Maandamano hayakufeli, waliofeli ni wale waliotakiwa kulinda waandamanaji i.e Polisi.
Polisi wangetimiza wajibu wao, hakuna mali ya mtu hata moja ambayo ingeharibiwa, wao walipaswa kuwaongoza waandamanaji wa-raise concerns zao wanazozitaka. Badala yake polisi wakajikita na vitisho na kuanza kuwa-shoot raia.
Mpaka jeshi linaingia road kuwalinda waandamaji ina maana intelijensia ya uhakika ilikuwepo kwamba maandamano yapo na walikuwa na wana uhakika polisi wanachoenda kukifanya.
Malengo ya waandamaji yamefikiwa kwa 150%. Kwa sababu kinachoenda kutokea sasa hivi ni reforms, wapende wasipende!