Huu ni upumbavu na kama wewe una akili hio ni mpumbavu piaHuu ni upumbavu; kama ulivyo upumbavu toka sehemu ya pili.
Huu ndio ukristo unavyofanywa na waisraeli
View: https://www.youtube.com/watch?v=1zJqvAFcyNk
Huu ni upumbavu na kama wewe una akili hio ni mpumbavu piaHuu ni upumbavu; kama ulivyo upumbavu toka sehemu ya pili.
Hapana Trump alisema 90% ya makombora sio tu yameharibiwa ila viwanda vya kutengenezea drone na missiles vimeteketezwa. Sasa wewe ndio unajua kuliko CIA na Mossad?Kipigo kile alichokipata Iran mwakajana, lazima kilimpa funzo kubwa. Sidhani kama Iran itakuwa imeyahifadhi makombora yake eneo moja. Hivyo USA na Israel wanaweza kushambulia store ya makombora moja, kumbe kuna nyingine 500 hazijaguswa kabisa
Bora wewe umekiri kuwa Israel bila US hawezi mtiti wa Iran. Ila wengi humu wanaamini Israel inaweza vita hata ya miaka 10 bila msaada wa USA.Israel in advantage kwa sababu mshirika wake USA anaweza kumletea silaha nyingine kukiwa na upungufu
Cha ajabu Iran inaingiza pesa nyingi zaidi kuliko kabla ya vita. Imeondolewa vikwazo vya kuuza mafuta na inauza kwa inflated price.Kwa Iran, hata kama vita ikiidha, madhara ya kiuchumi na kidiplomadia ni makubwa sana
Hapana ndio imefanya Gulf countries zione US ni mnafiki kashindwa kuwalinda na imefanya Iran aonekane mbabe na "mmiliki" wa gulf states. Hivyo wataogopa kurisk such attacks in the future so wataongeza actual cooperation na iran kama safe bet kuliko US.Vita hii itaifanya Iran kuwa adui wa majirani zake wote, na italeta ukaribu wa Israel na mataifa jirani ya kiarabu.
Ni vigumu Iran ku surrender, wameishika Marekani makende hapo Strait of Hormuz na gulf countries.Uko sahihi! All in all , sikutegemea kama Iran bado ina uwezo wa kufanya uharibifu kama huo!
Swali lako zuri, definitely at the end of the day, most likely Iran will surrender. But kumbuka Vietnam war! Kuna la kujifunza?1
Shida ipo,Marekani hana shida sana maana hamna kombora linapiga ardhi yake, israel in other side.
Us anajua anachokitana, israel nadhani ndio hawajui
Yote kwa yote kwa mtazamo wangu nadhani hata huko mbeleni US ama Israel hawatakaa wathubutu kuivamia Iran tena. Na Iran mbali ya hasara watakayopata sasa, baada ya hii vita wataweza kufanya chochote iwapo hawatakubali kukaa mezani na US.Hapana Trump alisema 90% ya makombora sio tu yameharibiwa ila viwanda vya kutengenezea drone na missiles vimeteketezwa. Sasa wewe ndio unajua kuliko CIA na Mossad?
Bora wewe umekiri kuwa Israel bila US hawezi mtiti wa Iran. Ila wengi humu wanaamini Israel inaweza vita hata ya miaka 10 bila msaada wa USA.
Cha ajabu Iran inaingiza pesa nyingi zaidi kuliko kabla ya vita. Imeondolewa vikwazo vya kuuza mafuta na inauza kwa inflated price.
Hapana ndio imefanya Gulf countries zione US ni mnafiki kashindwa kuwalinda na imefanya Iran aonekane mbabe na "mmiliki" wa gulf states. Hivyo wataogopa kurisk such attacks in the future so wataongeza actual cooperation na iran kama safe bet kuliko US.
Wamarekani wenyewe hawahafiki kupeleka wanajeshi but trump adminstration.Shida ipo,
Bei za mafuta zitapanda na raia wataanza kuliamsha.
Wamarekani wanataka kupeleka wanajeshi wakifanya hivyo maelfu watakufa, Iran ni ngumu zaidi kuliko Iraq au Afghanistan na vita vya sasa nchi nyingi za Ulaya hawaipi Marekani support
Uchumi wa gulf states ukianguka utatikisa vibaya sana mpaka uchumi wa Marekani na Ulaya kwa sababu wamewekeza zaidi ya $ trillion 7, wao ndio wawekezaji wakubwa zaidi wa nje huko West.
Huu ni upumbavu; kama ulivyo upumbavu toka sehemu ya pili.
Unaniwekea mimi taarifa kama hii ili iweje. Hivi hujui watu wanaoguswa na taarifa za kipumbavu aina hii; siyo mimi.
Yes, for Iran this is existential war.Una maana gani?
Unategemea wairan wote waishe?
Kitakachoamua ni ujasiri wa wairan kulinda uhuru wao kwa bei yoyote ile.
Sahihi kabisa.Yote kwa yote kwa mtazamo wangu nadhani hata huko mbeleni US ama Israel hawatakaa wathubutu kuivamia Iran tena. Na Iran mbali ya hasara watakayopata sasa, baada ya hii vita wataweza kufanya chochote iwapo hawatakubali kukaa mezani na US.
Ni rasmi sasa umoja wa NATO unaenda kuwa kibogoyo maana US amejua hayuko nao, na Umoja wa Ulaya umejua US sio mshirika nzuri, kwani anawaburuza wengine hata kama hawataki vita. Labda akiingia rais mwingine wa US afanye diplomasia kubwa sana kurejesha Imani kwa washirika wake wa Ulaya. Nakumbuka vita vya Iraq ndio viliufanya Umoja wa mataifa kuwa kibogoyo hadi leo.
Kwenye Diplomasia hapo, mambo yanaweza kuwa kinyume na ulichopendekeza.Kipigo kile alichokipata Iran mwakajana, lazima kilimpa funzo kubwa. Sidhani kama Iran itakuwa imeyahifadhi makombora yake eneo moja. Hivyo USA na Israel wanaweza kushambulia store ya makombora moja, kumbe kuna nyingine 500 hazijaguswa kabisa. Hivi ni vita vya muda mrefu, haviwezi kuwa vya wiki chache kama ilivyotarajiwa.
Advantage aliyo nayo USA, hakuna kinachoguswa kule Marekani. Inaendelea na shughuli za kiuchumi kama kawaida, inaendelea kutengeneza silaha kama kawaida, wakati Iran na Israel hazina nafasi hiyo. Israel in advantage kwa sababu mshirika wake USA anaweza kumletea silaha nyingine kukiwa na upungufu, na pia ina uhakika wa kuusimamisha uchumi wake kwa haraka kuliko Iran. Kwa Iran, hata kama vita ikiidha, madhara ya kiuchumi na kidiplomadia ni makubwa sana. Vita hii itaifanya Iran kuwa adui wa majirani zake wote, na italeta ukaribu wa Israel na mataifa jirani ya kiarabu.
Msukuma ww wa ngweliMchambuzi wa vita toka Hungumalwa
Sawa refareeHii vita ndio kwanza ipo kipindi cha kwanza hata kipenga cha half time bado