Recent content by mtimatawi

  1. M

    Najiona nipo tofauti na wanawake wangine, ila i admire my personality!

    Hongera sana da da kwa kulelewa katika mjadiliane bora, hakika we we utakuwa mwanaume bora
  2. M

    Hivi nyie wanawake mna shida gani?

    Nikweli kabisa, imekuwa biashara kama changudoa .wasajili kabisa kama ni biashara na walipe kodi
  3. M

    Mwanamke anaeolewa akiwa bikira ana mapenzi ya dhati kwa mumewe kuliko

    Naunga hoja, wan awake huwapenda sana wanaume waliowatoa bikira zao .kama ukioa bikira na kumtoa bikira hiyo we we mwenyewe pia akafundishwa mjadiliane mema ya jamii basi siyo rahisi kumsaliti ndoa.
  4. M

    Kununua gari au kujenga nyumba

    Anunue kiwanja Kwanza na kuanza kujenga nyumbani polepole. Hiyo hela into shape kabisa kununua kiwanja na kujenga nyumba . Ukishakuwa na nyumba yako ndiyo ununue gari.
  5. M

    ushauri wakuu!

    Mkikorofishana usiende kushitaki kwa wakwe zako, wakwe zako hawatakusaidia kwani Huyo ni mtoto wao yaani nidamu yao hawawezi Kuwa upande wako wakasliti damu yao. Suluhu ya kweli Mkikorofishana name wako jioni we we mwache alale asubuhi baada yahasira kwisha , mkae ndani ya chumba chakulala...
  6. M

    mpaka unigegede kwanza!

    atakuja kukuambukiza ukimwi ndiyo maana amekupa hela yakujitibia baadaye utakapo kuwa umesha ambukizwa ukimwi . kama amekupa pesa ushauri wangu akija usimgegede kwani anaukimwi huyo kimbia
  7. M

    Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

    libwata nisumu inayokwenda kuhalibu ubongo wa mwanaume aliyekula , kazi ya libwata nikuua ubongo wamwaume na kumfanya kama zezeta .hii sumu nimbaya sana kwani huua kabisa ubongo wa mwanaume na kushindwa kufikiri sahihi . ufanisi wakazi wa mwaume ushuka na mwisho kushidwa kufanya kazi na...
  8. M

    Alichonifanyia mdogo wangu naumia

    wewe mwenyewe umekili kuwa unamazoea na wanaume wanaokuja dukani kwako. hili nikosa sana kwa mke wamtu kuwa na mazoea na wateja wakiume mpaka wanaenda china na kumnunulia zawadi .Biashara ni kati ya mteja na mnunuzi , menyeduka anatoa mali mnunuzi anatoa pesa , sasa wewe imekuwa tofauti meja...
  9. M

    Baby.....,baby....., nyoooooo! Wanawake wengi mnajidhalilisha sana!

    huyo ni changudoa sawa na changudoa wanaojiuza barabarani
  10. M

    Baby.....,baby....., nyoooooo! Wanawake wengi mnajidhalilisha sana!

    ukiona msichana wa aina hiyo jua anauza kwa hiyo ni vyema kila mnapofanya mapenzi mkubaliane na kulipana kama wanavyo fanya changudoa kwani hata huyo nichangudoa tu
  11. M

    Wife Anazingua

    mwambie sawa kama anamrudisha huyo hausi girl basi mbaki bila hausi girl kazi zote atafanya yeye mwenyewe. akikikubali huyo hausi girl mtafutie kazi sehemu nyingine. nihatari kubwa sana kukaa na hausi girl ambaye anachukiwa na mke wako. mkeo anaweza akamfanyia kitu kibaya sana.ukitoa huyo hausi...
  12. M

    Ya kwako lini?,nachukia sana swali hili

    tatizo unataka kuolewa lakini hakuna wakukuoa ndiyo maana mtu akiuliza anakuwa anatonesha kidonda. pole kwa kuachwa
  13. M

    ladies......lets FAKE....

    hakika sisi wanaume tunataka faraja , kuheshimiwa, kudhaminiwa na kupewa mapenzi ya kweli . tukikosa ndani ya ndoa hutafuta nje ya ndoa.
  14. M

    Marriage for revenge

    wewe hakiaka siyo wife material kabisa na ukifanya revence utaprove kuwa siyo wife material kabisa na mtaachana na huji kuolewa na mwanaume mwingine maishani mwako utaishia kuzaa tu na kuachwa. mwanamke au mwanaume mwenye visasi hafai kabisa katika ndoa. kama unataka revence ya kweli basi...
  15. M

    Nimenunua gari kaniacha

    watu tunatofautiana sana mitazamo ya kimaendeleo. mimi mtu akijenga nyumba kwanza ndiyo baada ya kujenga anunue gari naona anamtazamo wa kimaendeleo , lakini mtu anayenunua gari wakati hana nyumba naona hana mtatazamo wa kimaendeleo. sasa yawezekana na yeye amekuona wewe siyo mtu wamaendeleo...
Back
Top Bottom