ladies......lets FAKE....

ladies......lets FAKE....

Nimlilie.kwani nimemzaa mie? Chura ukimpiga teke umempunguzia safari atii hehehe. Ataisoma namba ya kiatu ndo ajijue hana bahati. Hujaona kuna anaeomba ushauri wa kumcheat mume, anatongozwa na wanaume watatu! Unalo hilo baba hehehe
Duh! Duh! una mikwara mbuzi wewe, we ndio ukiachwa utalia mpaka kunakucha
 
Sio utundu. Ni kuwa mkweli. Its the reality unajua? Hivi unaanzaje ku fake mambo mengine kama haya?

sadly kwa nyumba ndogo mtindo ni kufake,angekuwa anatoa papuchi kwa kujinyima nyima km wewe,mumeo asingemfuata....:wink2:
 
Sio papuchi inawapeleka kwenye small house,yapo mengi tu,matunzo anayopata,kule hakunaga stress kama unazompa,kule analishwa,anaogeshwa,massage,anachunwa,anavuliwa viatu akija mlangni anapokelewa mzgo mabusu kedekede na pole juu huku bibie ananukia kama waridi...hata ufake vp kule ataenda
 
Sio papuchi inawapeleka kwenye small house,yapo mengi tu,matunzo anayopata,kule hakunaga stress kama unazompa,kule analishwa,anaogeshwa,massage,anachunwa,anavuliwa viatu akija mlangni anapokelewa mzgo mabusu kedekede na pole juu huku bibie ananukia kama waridi...hata ufake vp kule ataenda

mbona unajua mengi kuhusu nyumba ndogo,na wewe ni nyumba ndogo ya mtu nini LOLS...nakutania....umesema kweli tupu, wengi wetu sijui kwa kujisahau ama majukumu mengi wanajikuta kny hili shimo la 'kushare' ingawa hawapendi....kila mtu afanye wajibu wake akitoka basi umshukuru mungu
 
Life expectancy yenyewe inapungua daily. Kisa cha kuvumilia upuuzi wa mwanamme? How many lifetimes do I have??
kupungua kwa life expectancy...ndo kunamfanya mtu aishi maisha haraka haraka au...kunakufanya ukimbie stress(changamoto)s za maisha..!!? I don't think so
 
kupungua kwa life expectancy...ndo kunamfanya mtu aishi maisha haraka haraka au...kunakufanya ukimbie stress(changamoto)s za maisha..!!? I don't think so

hiyo ndiyo mitoto ya kidijitali!
 
Kule kwetu haya tunayaita 'Mambongwa' na hii ni Ngondo kwa kweli.
Lakini mh! Kuna watu humu maneno yao yananifikirisha.

Cc Kongosho,King'asti
 
habari zenu wapendwa,
leo nimekaa na kufiikiria kwa nini kunakuwa na nyumba ndogo,kuna nini huko kinachotuzidi?? jibu nikapata wao ni wanawake km sie wanajua kucheza na jiografia ya MWANAUME................lets break it....mwanaume umpikie umfulie umpe papuchi non stop HAKUACHI ng'o lol.............hizo kazi za nyumbani unaweza kusaidiwa na housegal,ila sex ni wanaume wachache tunaweza kumudu appetite yao...hapo ndipo pa kufake it😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller: najua umechoka just fake ten minutes it will be over LOL...kwanza maumbile yetu hayaonyeshi km wanaume kuwa ume.dindisha ingawa kwa wataalam humdanganyi lol.......................jitahidini jamani msisambaratishe ndoa zenu:confused2::confused2::confused2:

We jiachie tu fully kama mwanamke wa ukweli.
Don't fake babe.
Mimi huwa mama watoto akinisikia tu mita mia nakuja hm maudenda yanammiminika, pichuna anatupa mbali, xtra n.aked nikizama naanza kutafuna tunda la mti wa kati kwa raha zote.
Unahangaika wewe na fake zako
 
We jiachie tu fully kama mwanamke wa ukweli.
Don't fake babe.
Mimi huwa mama watoto akinisikia tu mita mia nakuja hm maudenda yanammiminika, pichuna anatupa mbali, xtra n.aked nikizama naanza kutafuna tunda la mti wa kati kwa raha zote.
Unahangaika wewe na fake zako

wale wanaojiboost kuwa ni vidume ndio wanaoongoza kuchapiwa-source street university...wewe jitie ushababi humu,wkt unachapiwa,tafuta wimbo wa rich mavoko wa roho yangu lol😛ray:
 
hakika sisi wanaume tunataka faraja , kuheshimiwa, kudhaminiwa na kupewa mapenzi ya kweli . tukikosa ndani ya ndoa hutafuta nje ya ndoa.
 
Na hakika sisi wanawake hatupendi hayo yote. Tukikosa kwenye ndoa tunafake orgasms na kupretend kuwa happy!
hakika sisi wanaume tunataka faraja , kuheshimiwa, kudhaminiwa na kupewa mapenzi ya kweli . tukikosa ndani ya ndoa hutafuta nje ya ndoa.
 
Hehehe dalalitz staki uchokozi. Utanifanya niambiwe na paw kuwa nafundisha wanawake ujeuri!
Kule kwetu haya tunayaita 'Mambongwa' na hii ni Ngondo kwa kweli.
Lakini mh! Kuna watu humu maneno yao yananifikirisha.

Cc Kongosho,King'asti
 
Last edited by a moderator:
Na hakika sisi wanawake hatupendi hayo yote. Tukikosa kwenye ndoa tunafake orgasms na kupretend kuwa happy!


exactly!keep on doing that,hataenda nje kabisaaa haijalishi na wewe unafurahia ama not:A S-devil4:
 
Na hakika sisi wanawake hatupendi hayo yote. Tukikosa kwenye ndoa tunafake orgasms na kupretend kuwa happy!
King'asti I do think you miss to grasp some very crucial msg from imaney

Huyu dada hajasema u fake kila siku !Kwa mfano jamaa ka cum na anaonekana kachoka.Je si ni vyema kumpa sifa za uanaume wake na ww u pretend just for that day kuwa ume cum?

Je ktk ndoa yako kila siku mmeo anafanikiwa kukufikisha?Haijawahi kutokea siku ikawa yy kafika ww bila bila au yy bila bila wewe moja?

Hata wanaume sometimes huwa tuna fake hiyo kitu!Siku zingine inatokea una game mbovu na mchumba kafika mapema;unadanganya unapiga kelele unakimbilia bafuni unavua haraka mpira una flash!Maana ukiendelea utamchubua/utachubuka tu na ndiyo point aliyojaribu kutengeneza dada huyu!

Nyie mnao pinga hili;Je ni kweli ktk love cycle zenu hamjawahi kuwa na bad game ukatoka bila bila?
 
Last edited by a moderator:
King'asti I do think you miss to grasp some very crucial msg from imaney

Huyu dada hajasema u fake kila siku !Kwa mfano jamaa ka cum na anaonekana kachoka.Je si ni vyema kumpa sifa za uanaume wake na ww u pretend just for that day kuwa ume cum?

Je ktk ndoa yako kila siku mmeo anafanikiwa kukufikisha?Haijawahi kutokea siku ikawa yy kafika ww bila bila au yy bila bila wewe moja?

Hata wanaume sometimes huwa tuna fake hiyo kitu!Siku zingine inatokea una game mbovu na mchumba kafika mapema;unadanganya unapiga kelele unakimbilia bafuni unavua haraka mpira una flash!Maana ukiendelea utamchubua/utachubuka tu na ndiyo point aliyojaribu kutengeneza dada huyu!

Nyie mnao pinga hili;Je ni kweli ktk love cycle zenu hamjawahi kuwa na bad game ukatoka bila bila?

But why fake? Why not be honest about it??
 
Last edited by a moderator:
hakika sisi wanaume tunataka faraja , kuheshimiwa, kudhaminiwa na kupewa mapenzi ya kweli . tukikosa ndani ya ndoa hutafuta nje ya ndoa.

Nyie hata mupewe yote hayo, na pua na sikio na tufungue tawi jipya kuwafurahisha nyie wapi??? Sikio la kufa etiiii.
 
Back
Top Bottom