Hawezi kushangaa maana hata yeye asingevumikia upumbavu wa watu wachache wenye kuongea majukwaani kuvuruga amani ya nchi kwa mgongo wa siasa na kivuli cha demokrasia.
Nadhani hii ndio ilikua maana sahihi ya Mh Pinda. Huwezi kuwekewa sheria ukavunja then watu wakubembeleze kutii, lazima watu waache ujinga na unafiki. Ukiwa na mtoto ukamuonya asifanye jambo then akang'ang'ania kulifanya utamuadhibu ili ajue umechukia kitendo chake. Sasa serikali inaposema watu...
Kwa ujumla wamefanya kazi nzuri sana, niwapongeze sana kwa uchambuzi makini pamoja na vikwazo walivyopambana navyo ila wamefanya kazi njema, mapungufu hayakosekani ndio maana itajadiliwa tena na bunge la katiba ili kuiweka sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.