au ndiyo wameanza kuwaandaa waumini ili wamuondoe kikwete madarakani?
Mkuu nakuomba uondokane na fikra mgando hakuna mtanzania hata mmoja anayetamani kumwondoa Kikwete madarakani kinyume na katiba, tunapoongelea masuala nyeti ya kitaifa ni heri ukaazima hata kwa jirani maana kwa muono wangu naona we busara zako ziko very shallow.