Recent content by MTEWELE G.

  1. MTEWELE G.

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    My president are u serious?!!
  2. MTEWELE G.

    Wanafunzi zaidi ya 400 chuo kikuu iringa mwaka wa pili na watatu wasimamishwa masomo kuanzia leo

    Poleni walengwa wote wa tukio hili, naamini kwa umoja wenu mtatafuta haki kwa njia ya amani
  3. MTEWELE G.

    Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

    Uh! Nimefuatilia hii thread tangu majuzi kweli mtoa mada unastahili pole, hopeful umejifunza kwa ajili ya wakati ujao
  4. MTEWELE G.

    Kuvaa saa enzi hizi za dijitali ni mbwembwe au usharobaro?

    Nashukuru mtoa mada amesema hakumbuki mara ya mwisho yeye alivaa saa lini, kwa lugha rahisi huo ni mtazamo wake mbadala kuhusu matumizi ya saa na ieleweke hivo, ahsante mfianchi maana nilichotaka miasma tayari umenitangulia, uungwana ni kitendo kwa muelewa ataelewa; hapa nina gear ya Samsung pia...
  5. MTEWELE G.

    Continuing Story: Ile kashfa ya Mh. Komba msichana alopiga nae picha anena...

    Pole sana Captain, jifunze kupitia hilo iwe unahusika au huhusiki coz tayari jamii haina imani na ww
  6. MTEWELE G.

    Mkurugenzi mpya wa BRELA

    Nenda mwenyewe ukamuone
  7. MTEWELE G.

    Shamsa Ford picha na Machemli ni kazi ya photoshop

    Mimi napita tu, naenda kuoga
  8. MTEWELE G.

    Ufoo saro aanika kila kitu juu ya sakata lake

    Majibu hayo kwa mujibu wa Ufoo, yalisababisha daktari huyo aombe kuletewa gari la wagonjwa la wagonjwa maarufu (VIP) ambalo lililitwa na muda mfupi baadaye akapakizwa tayari kwa safari ya kukimbizwa Muhimbili. "Kuishi kwingi kuona mengi" na kupitia tukio la Ufo nimejifunza kitu kipya yaani...
  9. MTEWELE G.

    Bosi kanilengesha kwa binti yake sasa nashindwa kuamua

    Ulitegemea nini kumkana mpenzi wako mbele ya bosi wako?? Mi sikuonei huruma sababu unaonesha ni mtu wa tamaa!! Acha ukose vyote ndo unachostahili!!!! Seems hauna msimamo au hata hiyo kazi uliipata kwa kubebwabebwa tu, niliwafundisha hata vijana wa FB kuwa mwanaume kukosa msimamo ni dhambi...
  10. MTEWELE G.

    Wanaume tuchunguze kwanza wanawake tunaotaka kuanzisha nao mahusiano

    Na ww mwanaume mzima unaandika unafiki humu huna aibu ww! Seems hujielewi ila nakukumbusha kuwa kila mwanaume/ mwanamke aliye ktk kipindi muafaka cha kushare mahusiani ya future ana hekima yake inayomuongoza kwenye suala zima la kufanya maamuzi; hiyo thread yako labda wapelekee wavulana siyo...
  11. MTEWELE G.

    Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

    #hivi ninyi hamnaga thread za maana hadi muweke huu upuuzi!??? Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  12. MTEWELE G.

    Gari la zaidi ya milioni 800 linalomilikiwa na mtoto wa Bakhresa ambalo limekuja kwa oda maalum..!!

    Mh! Kweli dunia haina usawa, sasa ajabu hili gari ambalo wenyewe JF mnaliona la thamani zaidi bado halitii mguu kwa Bugatti Veyron Sport lenye thamani ya zaidi ya $250,000 Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  13. MTEWELE G.

    Grace Mbowe afariki ajalini - Kabuku, Segera - Tanga

    WanaJF eleweni jambo yaani hakuna binadamu ambaye thamani ya uhai wake ni zaidi ya mwingine, naona kwa taarifa hii wengi mnasema R.I.P Grace Mbowe pekee ikiwa waliokufa ajalini ni watatu zaidi acheni matabaka kisa status ya mtu kabla. Poleni waTanzania wenzangu kwa kufikwa na msiba huu
  14. MTEWELE G.

    UMEMZIMIA MREMBO::ukamuahidi kumuoa::baada ya ku-do b4 haujamfeel::SASA JE?

    Hao mnaowajadili hayo nd o mama zenu, dada zenu na hata mabinti zenu tena ambao tayari wamekua na siku zao wanaziona, tafakari una akili ww kumjadili mtu ambaye kijamii anakuhusu? Au ww ulizaliwa na nani kama cyo mwamamke? Tena futeni hiyo kauli tasteless coz hata ww mwanzilishi mchangiaji mada...
Back
Top Bottom