Recent content by Mtemi02

  1. Mtemi02

    Mfahamu Hoyce Temu katika ulimwengu wa Diplomasia na Mahusiano ya Kimataifa

    Kwa hiyo walikata hilo ziwa au ilikuwaje Mkuu? Kwa nini hawakutata. Bange ni mbaya sana. Kikwete alijua upumbavu wa Kagame wa kupenyeza vibaraka wanyarwanda kupeleleza nchi. Alcohol akaja kumfanya best yake
  2. Mtemi02

    Mbona Rais Samia akienda msikitini TV hazimuoneshi?

    Baraza la Iddi ni mkutano na haupo katika taratibu za dini. Yani mtu kutokuswali ni dhambi ila kutohudhuria Baraza la Iddi sio dhambi. In short Baraza la Iddi ni tamasha tu ambalo hata asiye Muislamu anaweza kuhudhuria, siyo Ibada
  3. Mtemi02

    Je, Tanzania kukumbwa na rungu la FIFA?

    Shirikisho la soka la Dunia (FIFA) katika kanuni zake hukataza Serikali kuingilia masuala ya soka. Kwa maelezo ya TFF ni kuwa maelekezo ya kusogeza mbele mechi ya Simba na Yanga yametoka Serikalini kwa maana nyingine serikali imeingilia masuala ya soka directly. Na walichofanya TFF ni kama vile...
  4. Mtemi02

    Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

    Asiye na maisha ni aliyekufa
  5. Mtemi02

    Ibara ya 100 ya Katiba ya JMT imewapa wabunge Uhuru wa kujadili Hoja na Mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na Mhimili wala Mtu yeyote. Tusiwaingilie

    Yani kwa akili yako finyu mtu akikwambia "badala ya kufanya jambo hili ungefanya lile" hayo sio maoni? Au hata maana ya neno maoni huelewi? Alichokiongea Samia kuhusu bunge hata wewe unaweza kukiongea. Au unahisi sio maoni kwa kuwa aliyeongea ni Samia?
  6. Mtemi02

    Leo Ramadhani siku ya tano Afande Sele bado yupo hai. Je, ni kweli Albadiri inaweza kudhuru mtu?

    Kishki baada ya kutamka maneno yale aliomba msamaha akidai alitamka kwa jazba akaomba asamehewe
  7. Mtemi02

    Rais Samia ameingilia mhimili wa Bunge kwa hiyo ameanza kuisigina katiba waziwazi

    Kwani Katiba inaposema kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo/maoni imemaanisha maoni hayo yaisilihusu bunge? Yani Katiba imekataza kutoa maoni/mawazo kuhusu mwenendo wa bunge? Au (kwa mujibu wa Katiba) Rais haruhusiwi kutoa maoni?
  8. Mtemi02

    Ibara ya 100 ya Katiba ya JMT imewapa wabunge Uhuru wa kujadili Hoja na Mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na Mhimili wala Mtu yeyote. Tusiwaingilie

    Pia katiba imetamka kila mtu yupo huru kutoa mawazo/maoni yake, hivyo katiba inaruhusu watu kutoa maoni juu ya mwenendo wa bunge Hivyo usitufunge midomo
  9. Mtemi02

    Jeshi lijitathimini kuhusu uadilifu na uaminifu wake kwa Watanzania wote

    Umesema mwenyewe hapo kuwa hao wa awali kuna njia walitumia wakarejeshwa. Sasa hawa wanaleta migomo jeshini. Hawafai waasi hao
  10. Mtemi02

    Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

    Naona Kakoko ameamua kuunda katimu ka kumsafisha. Ulitakiwa kukanusha kwa evidence kwamba hakukuwa wa 3b pale TPA. By the way yeye sio wa kwanza kuvuliwa madaraka, hivyo tulizeni mshono
Back
Top Bottom