Kwa hiyo walikata hilo ziwa au ilikuwaje Mkuu? Kwa nini hawakutata.
Bange ni mbaya sana. Kikwete alijua upumbavu wa Kagame wa kupenyeza vibaraka wanyarwanda kupeleleza nchi. Alcohol akaja kumfanya best yake
Baraza la Iddi ni mkutano na haupo katika taratibu za dini. Yani mtu kutokuswali ni dhambi ila kutohudhuria Baraza la Iddi sio dhambi.
In short Baraza la Iddi ni tamasha tu ambalo hata asiye Muislamu anaweza kuhudhuria, siyo Ibada
Shirikisho la soka la Dunia (FIFA) katika kanuni zake hukataza Serikali kuingilia masuala ya soka.
Kwa maelezo ya TFF ni kuwa maelekezo ya kusogeza mbele mechi ya Simba na Yanga yametoka Serikalini kwa maana nyingine serikali imeingilia masuala ya soka directly. Na walichofanya TFF ni kama vile...
Yani kwa akili yako finyu mtu akikwambia "badala ya kufanya jambo hili ungefanya lile" hayo sio maoni? Au hata maana ya neno maoni huelewi?
Alichokiongea Samia kuhusu bunge hata wewe unaweza kukiongea. Au unahisi sio maoni kwa kuwa aliyeongea ni Samia?
Kwani Katiba inaposema kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo/maoni imemaanisha maoni hayo yaisilihusu bunge?
Yani Katiba imekataza kutoa maoni/mawazo kuhusu mwenendo wa bunge?
Au (kwa mujibu wa Katiba) Rais haruhusiwi kutoa maoni?
Pia katiba imetamka kila mtu yupo huru kutoa mawazo/maoni yake, hivyo katiba inaruhusu watu kutoa maoni juu ya mwenendo wa bunge
Hivyo usitufunge midomo
Naona Kakoko ameamua kuunda katimu ka kumsafisha.
Ulitakiwa kukanusha kwa evidence kwamba hakukuwa wa 3b pale TPA.
By the way yeye sio wa kwanza kuvuliwa madaraka, hivyo tulizeni mshono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.