Recent content by mtemi tagallah

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nimebaini: Siku hizi watu hawatumii tena jina Tanzania bali wanatumia Tanganyika

    Nina kuomba uliza swali moja moja nitakujibu yote
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bandari haziwezi kuendeshwa kimuungano

    Andika moja moja, nipo hapa kukujibu.ni hoja nyepesi sana
  3. M

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia anasema wamepitisha makubaliano na sio mkataba. Swali langu kwani makubaliano sio mkataba?

    Alicho Maanisha Spika hichi hapa Yaani kilicho sainiwa ni MOU. MOU ni Memorandum of Understanding" MOU ni hati isiyo ya kisheria inayotumiwa katika mazingira ya kibiashara, kidiplomasia, au kisiasa kuelezea uelewa wa pamoja na makubaliano kati ya pande mbili au zaidi. Inaonyesha nia ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

    Shida ni dhania hacker ni genius wa computer kitu ambacho sio kweli ?? Hata wewe unaweza kuwa hacker
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mjue CAG na hatua ambazo Serikali ya Rais Samia imeshachukua

    Na Mwandishi wetu Baraka Mussa (Mjumbe wa Halmashauri kuu CCM Wilaya ya kigoma mjini), Kwanza nianze kuwasalimia Kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania? Pia ningeomba Vijana wa ACT wasome andiko hili vizuri ili itawasaidia kuachana na maandamano yao ya kipuuzi,Pia andiko hili...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Bingwa wa 'software' anahitajika

    Million mbili ni ndogo za kutaka kutengenezewa software software mfano wa adobe... Hapo andaa milion 70
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Uzi wangu wa kuomba kazi

    Kama upo dodoma karibu sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Epson Printer L3060 Reseter Set up Keys

    Nipo hapa naweza kukusaidia
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

    Mimi nina imani tele na serikali hii ya awamu ya sita
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimeingia Dodoma; mtaji wa milioni nne naweza kufanya biashara gani?

    Nimekuja kuomba ushauri kwenu nina mtaji wa milioni nne naweza kufanya biashara gani Dodoma. Nina ujuzi wa computer na uzoefu katika kutengeneza computer hadi chip level, kutengeneza simu sinauzoefu ila nimeshapata mafunzo kidogo. Kichwani kwangu nina mawazo matatu moja kufungua mgahawa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanamaliza sana hela Kwa bodaboda

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hapa bongo wengi wanaojiita hackers ni show off kwajili ya attention, hawajafika hizo level na ni watupu hawajui kitu.

    Mnaelewa hacker ni nini ? Hacker sio genius wa computer na programming , hacker ni zaidi ya hapo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mtu mwenye matokeo haya form four utamshauri asome nini?

    Diploma of pharmacy anasoma aombe chuo hata kama physics ana F
Back
Top Bottom