unastahili kupongezwa hongera saana mdada. Binafsi sidhani kuna maana yoyote ya kufanya uende kusikiliza wapuuzi kama hao. Kama pesa ipo kale bata tu midada na njemba wako
Hahaha kweli mdau na sio wanawake tu hata wanaume wafupi pia. Shida ni pale ambapo wanapshindwa kujiamini kwani hata kma ana mpenzi wake hawezi kujiamini kua yeye ndio kila kitu. Hapo ndio ukorofi wao unaanzia
Ajali inaweza kutokea popote pale J3 hii ya juzi nimeshuhudia Dreva aliendesha gari kwa umbali wa km 3 kagonga gusi nae ni uchovu? Na kama unaamini kua kisesa Express wa Dreva m1 kaombe kazi ya ukonda kama hujui kuendesha gari. Hao unao waona kma maconda ni madereva walio soma (NIT)
Hata kama hujui shelia za barabarani angalia hata picha ya bus kwanza kisha toa rawama zako. Kisesa Express ni kampuni yenye mabus mapya kabisa na ni bora.
Unawezaje kukataa kupanda gari analo endesha mwanamke? Na Unawezaje kuingiza hilo dubwasha lako kwenye papuchi yake ikiwa hujui ndani yake kuna nini? Acha uboya tembea kwa miguu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.