Recent content by mtanzania2016

  1. mtanzania2016

    Natafuta rafiki wa kike wa kuoa

    Hongera mkuu kwa kuweka nia ya kuvuta jiko, kila raheli umpate aliye andaliwa kwaajili yako
  2. mtanzania2016

    Natafuta Binti/Mwanamke wa Kuoa

    Kila la heri mkuu, katika hili swala la kutafuta mke. Mungu akuongoze ili umpate yule kwel ulieandaliwa na Bwana.
  3. mtanzania2016

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Mke mwema anatoka kwa bwana, na anapatikana mahala popote. Hata wale wa mitaani, wanaweza wakakubadilikia siku moja.
  4. mtanzania2016

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Kiswahili kigumu mkuu, point yangu ni kupata mwenza wa maisha
  5. mtanzania2016

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Mwanzo 2:18 'Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye'. Habarini za Leo wanafamilia wenzangu wa JF. Nimeanza kwa nukuu hiyo kutoka katika kitabu kitakatifu cha Biblia. Nipo hapa kueleza nia yangu ya dhati, ya kutafuta mke , mwenzangu wa maisha...
  6. mtanzania2016

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Pole sana mkuu Maxence Melo, Tupo pamoja nawe. Mungu akujalie wepesi wa haya unayoyapitia. Siku zote shikiria kile unachokiamini..
  7. mtanzania2016

    Msaada: Gharama ya kupandikiza mtoto/mimba!

    Hiyo huduma ha IVF inapatikana "Mwanza Hospital" ipo mtaa wa Rufiji, karibu na uwanja wa Mbugani Shule ya Msingi. Bei ni around 10M to 15M. Kwa Contact nichek PM
  8. mtanzania2016

    Nilifanya Mapenzi Na Maiti 20 Nitajirike – sehemu ya 1

    Duh pole sana kwa maisha uliyopitia, ulisahau Kumtanguliza Mungu katika mambo yako, angeweza kukufanyia utajiri kupitia njia za harari. Pole sana, kwan utajiri Wa namna hiyo hauwezi kuwa na mwisho mzuri...
  9. mtanzania2016

    Are you an estate Agent ?

    0764205757
  10. mtanzania2016

    Serious man needed baadae awe mume

    Mwenye hizo sifa zote ulizozitaja apo tayari alishaoa... Poleee..
  11. mtanzania2016

    Wadau naomba ushauri wa suluhisho la upungufu wa nguvu za kiume

    Kwa manufaaa na ya wana jamvi wengine wenye hilo tatizo au ambao wanaweza kujikuta wamepata hilo tatizo kwa siku zijazo, weka hapa tiba hiyo ya kienyeji unayo ifahamu wew...
  12. mtanzania2016

    My little story with Makonda about leadership, kwa faida ya wasiokujua

    Chuoni hamnaga kilaza, ila tofauti huwa ni priority tu kuwa, unasoma ili use best student au ili upass tu mambo yaende...
  13. mtanzania2016

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Kiwango cha elimu cha ninim sasa, coz angekua na vyeti feki uhakiki ungepita naye, lakin now yupo on work bado, means academic yake ni original and ipo okay kwa kulitumikia taifa...
Back
Top Bottom