Mwanzo 2:18 'Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye'.
Habarini za Leo wanafamilia wenzangu wa JF. Nimeanza kwa nukuu hiyo kutoka katika kitabu kitakatifu cha Biblia. Nipo hapa kueleza nia yangu ya dhati, ya kutafuta mke , mwenzangu wa maisha...