kwani anataka kufanya bila kuolewa!?...kama ndio sio vizurihusikii tena? nakuonya tena na ninarudia tena! ogopa njia hiyo, utakuja kuzaa na majini? muombe Mungu akupe Mume utazaa watoto wazuri tuu!
husikii tena? nakuonya tena na ninarudia tena! ogopa njia hiyo, utakuja kuzaa na majini? muombe Mungu akupe Mume utazaa watoto wazuri tuu!
Kuna moja ipo mikocheni njia panda ya Coca-Cola kule upande wadaraja la jkt. But sina uwakika kama bado ipo around hapo.
anhaa...basi sawa ukifanikiwa usisahau mrejeshoHapana nina mume mkuu!
Kama bado unaamini majini inaonyesha jinsi gani bado hujaelimikahusikii tena? nakuonya tena na ninarudia tena! ogopa njia hiyo, utakuja kuzaa na majini? muombe Mungu akupe Mume utazaa watoto wazuri tuu!
Dah....tatizo nini?Hapana nina mume mkuu!
Kwani uliwahi kumzuia?husikii tena? nakuonya tena na ninarudia tena! ogopa njia hiyo, utakuja kuzaa na majini? muombe Mungu akupe Mume utazaa watoto wazuri tuu!
Hiyo huduma ha IVF inapatikana "Mwanza Hospital" ipo mtaa wa Rufiji, karibu na uwanja wa Mbugani Shule ya Msingi. Bei ni around 10M to 15M. Kwa Contact nichek PM
mmmh kumbe gharama hivi?duuhHiyo huduma ha IVF inapatikana "Mwanza Hospital" ipo mtaa wa Rufiji, karibu na uwanja wa Mbugani Shule ya Msingi. Bei ni around 10M to 15M. Kwa Contact nichek PM
duuuh aise so expensiveNasikia Nairobi Kenya inafanyika,bei around 20million, hospital ipi exactly na uhakika wa hio bei sijui kwa kweli mana ni hear say
still expensive ,lakin bado kuna watu wanapewa watoto wanatupa jalalaniNot less than 8m. Maeneo ya mikocheni
lakin si dhan kama kupandikiza mimba ni sawa na in vitro fertility (IVF) ambayo ndio iko pale mikochenNot less than 8m. Maeneo ya mikocheni