Recent content by Mtanzania0592

  1. M

    Unaweza msaliti mpenzi wako kwa kigezo cha unampima kama anakupenda?

    Mwamba ana miaka 40 ila akili ya mwanaume hana,hawa ndio wanaleaga watoto wa wanaume wenzao wakidhani ni watoto wao
  2. M

    Unaweza msaliti mpenzi wako kwa kigezo cha unampima kama anakupenda?

    Jibu ushapewa!upo busy sana kwaiyo wapo wa kumkuna kipochi manyoya chake.
  3. M

    Natafuta kazi yoyote halili Dodoma

    Makosa ya kiuandishi
  4. M

    DCEA: Tuna orodha ya Wasanii wanaotumia Dawa za Kulevya, kupimwa wote

    Huko hawawezi kukubali hata kwa dawa.
  5. M

    Natafuta kazi yoyote halili Dodoma

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Umri wangu ni miaka 31,jinsia me..natafuta kazi yoyote halali hapa dodoma. Elimu yangu ni kidato cha sita ila pia nina uzoefu basic wa computer. na wadhamini kama watahitajika wapo. Natanguliza shukrani. MODS naomba mnisaidie ku edit heading
  6. M

    Kwanini polisi nchini Urusi wanaacha kazi na kujikita katika nyanja zingine?

    Lazima mjue kua Putin kaingia cha kike,ainue tu dela lake achuchumae. Asingevamia ukraine 2022 angebaki na crimea halafu hizi rasilimali anazopoteza vitani angetumia kuimarisha hali ya maisha! sasahivi uchumi unazorota,jeshi lake linapungua nguvu taratibu,raia wanakufa na ukraine wameshaamua kua...
  7. M

    Historia ya Osama Bin Laden

    Figisufigisu za marekani na washirika wake kwa mgongo wa ugaidi.
Back
Top Bottom