Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Umri wangu ni miaka 31,jinsia me..natafuta kazi yoyote halali hapa dodoma.
Elimu yangu ni kidato cha sita ila pia nina uzoefu basic wa computer.
na wadhamini kama watahitajika wapo.
Natanguliza shukrani.
MODS naomba mnisaidie ku edit heading
Lazima mjue kua Putin kaingia cha kike,ainue tu dela lake achuchumae.
Asingevamia ukraine 2022 angebaki na crimea halafu hizi rasilimali anazopoteza vitani angetumia kuimarisha hali ya maisha!
sasahivi uchumi unazorota,jeshi lake linapungua nguvu taratibu,raia wanakufa na ukraine wameshaamua kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.