Hongera Mwiba! the truth as set you free, Maggid Mjengwa naye nikigeugeu tu he loves CDM very much but he was bought by CCM during the campaign 2010 to kill CDM this what i know.
Hard time is ahead of us just wait and see. Dowans is mzimu unaotutafuna wananchi mpaka kumaliza zote bilioni 185 kwa Dowans wananchi tutapigika kinoma. Mwaka Mpya na Mambo mapya yakulipa deni hewa la dowans, it is just like paying the left to right hand of the same person. Yaani unatoa mfuko wa...
Tatizo la wadada zetu ni mavazi wanaovaa yakuonesha maungo nje, pili wanawake wengi uwezo wao ni mdogo wakufikilia na na wasiwasi walifikanje huko ni maana unviversty entry watakuwa walichakachuliwa na wahusuka. kama wewe unajua umeenda kusoma kwanini ufanye hivyo.
Mariam Mohamed ndiyo Mshindi wa BSS 2010 na Mzungu kachukiwa nafasi ya tatu na ya pili James Kapange. Ila majaji wapunguzo matusi na pombe wameniboa leo.
Nafikiri jibu la Nanren is best pick, Tubutupu must be specific what level of education, lakini tabia haina cha msomi wala cha hasio msomi. It is an in born thing mind you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.