Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,173
- 3,345
Wana JF yaani nilivyoona thread nikesema ngoja nione mwiba kasema lakini mpaka mwisho sikuamini! Sijui kimetokea nini kwake ila yeye na Mungu wake ndiyo wanajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mwiba... umepata thanks ngapi... kumbuka kwamba ukileta pumba waliokupa thanks watazitwaa tena na ku un-thank
Unajua unacho kinena?
Kwa nini isiwe CDM mmenunuliwa na mafisadi kudhoofisha CUF au NCCR
Kama ni kupewa nyota tano basi Chadema wapo katika mstari wa kuweza kutunukiwa Nyota hizo tano na kuwa 5Star political party katika Taifa hili la Tanzania.
Hii ni kutokana na kufanikiwa kwa kiasi fulani kuweza kuikeep bize CCM na serikali yake na kuwafanya watawala tulionao kubabaika na kutojua pa kushika ,silaha hii ya Chadema ndiyo silaha haswa inayotakiwa kutumika katika kuisambaratisha CCM na utawala wake.
Katika muhula huu wa lala salama kwa CCM na wadhamini wake (aka mafisadi) ,tokea ulipomaliza uchaguzi mkuu Chadema awamefanikiwa kumkurupusha Kikwete na Chama chake kutokana na matokeo ya uchaguzi hili halijamalizika tayari wamekurupusha kwenye mambo ya Umeya wakati mapambano yakiendelea kwenye umeya ,Chadema wamepalilia na kulimia kwenye mambo ya kudai Katiba Mpya ,halikadhalika kwenye mdundo wa malipo ya Dowans huko nako kunafuka moshi,nategemea kuitishwa maandamano ya nchi nzima kupinga hatua iliyochukuliwa ya kulipa deni hewa la dowans.
Chadema ni lazima waendelee na safari hii isiwe mwendo mdundo maana jamaa watakuja kupinda kushoto ,iwawache Chadema wakiongoza njia tu,kumbe watu weshakula kona.
Mbinu hii ya kuikeep busy CCM na serikali yake ndio itakayowachanganya CCM na wadhamini wao wachanganyikiwe kila mmoja awe hamjui mwenziwe na kila mmoja ajione mzigo wake ni mzito hakuna nafasi ya kusaidiana.maombi ya maandamano na mikutano yaenee nchi nzima kusiwe na kulala tena.
Nani kakuibia password tena?