- Thread starter
- #81
ushujaa wa sitta kuhoji malipo ya hukumu ya Tan Vs DOWANS ni dhahiri kuwa kuna kitu ambacho hakipo katika hali ya kawaida ..... je tume ya mwakyembe ambayo ndio iliyotoa ushauri kwa serikali kusitisha mkataba na DOWANS walikuwa hawana vithibiti vya uhalali wa haya makampuni.... lets call back Mwayembe report na vithibitisho aya tume tuone..... i stand behind Mr. sitta.... there is something fishy ..... and i smell something wrong here..........!!!!!!!!