Recent content by mtakatifu20

  1. M

    Zanzibar wanawake wanavyoteswa na waume zao

    Acheni upuuzi nyie hapo mwanamke wapi kateswa? Hivi nateso wanayo pata wanawake kwa mfano musoma yanazidi ya waznz? Nadhani mna lenu
  2. M

    Airtel mmeamua kutusaliti?

    Acheni kulia lia jamani nyie mnafhani gharama za uendeshaji zimepanda wao watabaki na bei hiyohiyo tu
  3. M

    Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

    Najiuliza mtaji wa biasara yake kubwa hivi kapata wapi? Au ndio hizi tetesi chini ya kapeti yeye ndie alie wachoma weziwe? Maana wenzake wamekufa na kama wako walio hai wapo hoi ila jamaa yupo fiti je kulikoni?????
  4. M

    Ni mapumziko au ni nini???

    Airtel ni baba lao we kua mpole tu kumbuka leo kila mtu yupo free hivyo watu wanapiga sana cm. Airtel Yatosha
  5. M

    Kamati Kuu CHADEMA kwazuka ugomvi, Mjumbe wa Kigoma apigwa

    Narudia jamani kina shabani, zuberi, saidi hicho chama hatakiwi waachieni wenyewe mtauwawa bure shaurienu.
  6. M

    Mwaka mpya ni mwaka wa kidini au wa kiserikali..!?

    Huoni maofisi karibu 98% yanapambwa kusherehekea kuzaliwa yesu? Sie tushaumia wagalatia wameshika hatamu
  7. M

    Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Mnazunguka tu chadema ni chama cha kanisa muislam milele kwenye chadema hawi kiongozi mkuu mtamzushia majungu tu.
  8. M

    Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

    Mahakama ya kadhi itakuja tu waliopo madarakani wanachelewesha tu
  9. M

    Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Chadema mwislam daima hana safari yote ambiiwayo Zito ni Uislam wake umemponza leo Watu hamuhoji kwa kwa Mzee Arif kajitoa kanisa limeamua kua nyuma ya kanisa hongera crused
  10. M

    Macho yanachekaa moyo unaliaaaa!!!!

    Jamani hayo ni mashairi ya wimbo Taarabu ulioimbwa na Bi shakila kutoka Tanga.
  11. M

    Tv imaan yapata kibali rasmi

    MNYISANZU@ Chuki yako kwa waislam haitakusaidia kitu wewe kila kitu kinachohusu uislam wakisema vibaya hivi waislam kua na Tv pia roho yakuuma? Sasa chukia mpk upasuke Uislam utakuepo Daima dumu
  12. M

    Rais kikwete atembelea wagonjwa muhimbili

    Anajaribu kulinganisha hosp aliotoka na za kwetu. Ili ajiridhishe kwa nini alikwenda nje
  13. M

    Hii tabia ya mpenzi wangu ina dawa?

    Kama kiswahili kinakupa tabu poleee werevu wanajua namaanisha nn
Back
Top Bottom