Stori ya mama mmoja,,,
Jamaa alikua akiendesha pikipiki kwa kasi kubwa, ghafla kufika kwenye kona flan ivi amaizing akapunguza mwendo.
Hapo ndo alipodondosha kibegi kilichokua kimejaa mifedha, huyo mama hakua mbali na barabara, alipata nafasi ya kuona lile begi la fedha, na moja nyekundu...