Wakuu,
Natumaini kuwa mu wazima wa afya,
Wakuu tafadhali naombeni msaada wenu:-
Miezi 3 iliyopita nilipeleka barua zangu za maombi ya kazi ya ulinzi pale katika kampuni ya Rostam Aziz Caspian T Ltd, lakini nikadokezwa na wale walinzi wa getini kuwa kama sina chochote kitu najisumbua bure maana kuna watu madalali pale ndani wanadalalia kazi hizo, ila nikadokezwa pia kuwa kama nikimpata mtu wa karibu na meneja mwajiri meneja anaitwa Omid akanishika mkono nitafanikiwa bure kabisa bila hata kutoa sent.
Wenzangu wenye chochote kitu tayari wamefanikiwa wapo project ya Kinyerezi, mimi sina chochote kitu sehemu peke ya kukimbilia kwa msaada ni hapa JF naombeni msaada kwa yeyote mwenye uwezo wa kuniunganisha/kunishika mkono kwa huyu meneja.
Natanguliza shukrani.
Natumaini kuwa mu wazima wa afya,
Wakuu tafadhali naombeni msaada wenu:-
Miezi 3 iliyopita nilipeleka barua zangu za maombi ya kazi ya ulinzi pale katika kampuni ya Rostam Aziz Caspian T Ltd, lakini nikadokezwa na wale walinzi wa getini kuwa kama sina chochote kitu najisumbua bure maana kuna watu madalali pale ndani wanadalalia kazi hizo, ila nikadokezwa pia kuwa kama nikimpata mtu wa karibu na meneja mwajiri meneja anaitwa Omid akanishika mkono nitafanikiwa bure kabisa bila hata kutoa sent.
Wenzangu wenye chochote kitu tayari wamefanikiwa wapo project ya Kinyerezi, mimi sina chochote kitu sehemu peke ya kukimbilia kwa msaada ni hapa JF naombeni msaada kwa yeyote mwenye uwezo wa kuniunganisha/kunishika mkono kwa huyu meneja.
Natanguliza shukrani.