Hizo program hazihusiani na program za ualimu...mfano kwa mtu anayesoma bachelor of science in chemistry anaandaliwa kuwa mkemia katika sekta mbali mbali mfano kwenye sekta ya viwanda kuna mambo ya production, mkemia anahusika ambapo hapo anasifa kutoka na kuwa vizuri katika course ya industrial chemistry..pia katika kuthibiti viwango vya bidhaa zinazozalishwa katika viwanda mbali mbali mfano viwanda vya bia, madawa, soda na maji hii ni katika field ya quality control and assuarance, pia katika mambo ya drug discovery and design mkemia anahusika kwa sababu ya kuwa na knowledge kwenye field ya medicinal chemistry...pia kwenye analysis za maji katika vyanzo mbalimbali kwa wale wachimba visima au sehemu ambapo maji yanahitajika kwa ajili ya kunywa..mkemia anahitajika katika kupima viwango vya heavy metals kama lead, mercury, arsenic na cadmium kwa ajili ya kulinda afya ya mtumiaji, pia analysis of water hardness, amount of flouride, lakini pia katika analysis of drugs used by criminals and also verifying suspected person committing crimes through different sample tests taken from crime scenes through knowledge of forensic analysis and toxicological chemistry