joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,039
Habari zenu wakuu.
Wakuu ni kwamba takribani mwaka mmoja tatizo la macho yangu kupoteza mwelekeo wa utendaji kazi na kusababisha nianze kuona kama kuna giza au ukungu vile wakati ni mchana. Hiyo hali huwa inadumu kwa robo saa hivi na kuendelea. Nikiwa katika hali hiyo nashindwa hata kusoma maandishi makubwa.
Hivyo basi, pindi inapoisha hiyo hali, kichwa huwa kinauma sana hasa upande wa kulia au kushoto.
Je nini hiki wakuu?
Wakuu ni kwamba takribani mwaka mmoja tatizo la macho yangu kupoteza mwelekeo wa utendaji kazi na kusababisha nianze kuona kama kuna giza au ukungu vile wakati ni mchana. Hiyo hali huwa inadumu kwa robo saa hivi na kuendelea. Nikiwa katika hali hiyo nashindwa hata kusoma maandishi makubwa.
Hivyo basi, pindi inapoisha hiyo hali, kichwa huwa kinauma sana hasa upande wa kulia au kushoto.
Je nini hiki wakuu?