Hiyo hela anayokwenda kutumia ulaya ameitoa wapi kama siyo fisadi pia. Watu kama hawa ndiyo wanatafutwa waseme hizo hela ambazo hazilinganyi na mishahara yao wameitoa wapi?
Ni kianzio cha kutudanganya. Tunataka kuona timu nzima iliyogawiwa hizo hela. Kuanzia Ikulu,Wizara ya Fedha,Wizara ya madini na Nishati pamoja na TRA. Ifanyike bila kuacha jiwe limesimama
Ni sahihi kam mleta mada livyosema,lakini nadhani mua wake utafuata baadaye. Kwa sasa kama UKAWA watapata nafasi a kwenda Ikulu basi,yeye anapaswa kupewan nafasi ya Waziri wa Shera ama Attoney General
Wenye tumbo ni maafisa. Wanaokwenda front ni private hadi sajent. Ila wanaongozwa na makapten au majors. Wakubwa wanapanga logistic na kuangalia mbinu za kutumia. Hawana shida. Wanapata tu report.
Mimi sijaona tatizo,huo ni uchochezi. Kuna ubaya gani kumtuma mjomba wa motto kushughulikia cheti cha mwanao? Ukienda RITA hawahitaji kujua ni nani anakuja kuchukua cheti. Cha msingi ni kuwa na vielelezo vinavyotakiwa. Ukiangalia kwa mapana Mbowe na Nkya wako busy na mambo ya siasa. Huo muda wa...
Naona na mimi nichangie kidogo. Wanaosema ni kwa ajili ya matambiko,Je, matembiko hayawezi kufanyika kipindi kingine? Je wazungu wa wanaofanya kazi sehemu mbalimbali wanapenda kusherehekea X-mas makwao,Je ni matambiko? Watu wa Kilimanjaro husasani wachaga,walitawaliwa na wajerumani na...
Vyuo vya Uingereza kwa ujumla wake wanatoa nafasi ya Masters ama PHD kama alivyosema mmoja hapo juu. Kuna vigezo vingi wanatumia,kimojawapo unapoomba kusoma Masters siyo gurantee upate masters na nilishuudia watu niliosoma nao,Waingereza wenyewe. Kama performance yako isipofikia average ya 50...
Pole kwa kuwa na imani haba. Uchawi upo kwa wakristu hata biblia imesema. Sijui wasislamu wanasemaje. Njia nzuri ya kuzindika nyumba kama wewe ni mkristu ni kuiwekea wakfu kama alivyosema mjumbe mmoja hapo juu. Kwa wakatoliki imara. Ibariki nyumba yako kwa kununyizia maji ya Baraka. Yale maji ni...
Wangetumia magari ya group 4 ajali isingetokea? Tujaribu kuwa na mawazo ya kujenga. Magari ya kusafirisha fedha yameandaliwa na vioo vyake mara nyingi ni tinted. Kama ni landcruiser haian tatizo,kwanza unajua mwendo wake ni mkubwa kuliko yale ya jamaa zako group 4. Swala hapa ni hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.