Wanajeshi wa Tanzania na vitambi !

Wanajeshi wa Tanzania na vitambi !

Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.

kwanza nadhani ulitaka kusema RDF sio RPF, RPF kwa sasa ni chama tawala sio jeshi.

1. Ripoti ya UN iliyotoka wakati Rwanda ni mwenyekiti wa baraza la usalama iliweka wazi kuwa M23 walikuwa sio tu wanasaidiwa na hiyo RDF, bali walikuwa wamepenyeza mpaka batalioni za RDF humo.. Askari wetu hawa hawa mnaowaita vitambi ndio waliowachapa hao M23 including hao mamluki wa RDF. Mziki wa "vitambi" hao RDF wanaufahamu fika.

2. Hao RDF wameshindwa kuwapiga ex-FAR toka 1994 mpaka leo, wameweza kupindua nchi nzima ya DRC lakini wamewashindwa ex-FAR, mpaka ex-FAR wakajiunga na wakimbizi kutengeneza FDLR mwaka 2000. Tokea muda huo pia mkapa leo wapi! kila wakienda operesheni za kutokomeza FDLR wanachemsha, wanaishia kumalizia hasira zao kwa wakimbizi wa kihutu badala ya kupigana na wanaume wenzao. Hadi saa hivi Rwanda imeamua kuomba collabo za majeshi mengine EAC, kenya, sijui ethiopia kote huko kutaka kupigana na kikundi tu cha ex-FAR wa mwaka 1994? Hivi wangetuomba sie tupambane na FDLR unadhani ingechukua muda gani? Watu wanajiitaje wanajeshi halafu washindwe kupambana na waasi kwa miaka zaidi ya 20? halafu wewe unawafananisha na JW? Hao RDF hawana ubavu wowote wa kulinganishwa na JWTZ, tena kwa upande wa ethics ndio kabisa, saizi yao ni kama panya road kwa atrocities walizofanya DRC (refer to UN mapping report). Real soldiers kama JWTZ hawafanyi hivyo kwa defenseless people, vitambi or no vitambi!
 
We jishebedue tu eti wana vitambi siku moja katiza anga zao ndo utajua kama vitambi ivo vinafanya kazi au laa?
 
Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.

aisee!
 
Bia za dezo na nyama za jeshi zinasababisha kitambi kama cha Brigedia Karubi.
 
Salam Za Dhati Kwenu Machief!
Jamani Ni Aibu Kuona Maofisa Wengi Wa Jeshi Langu La Tz, Wamevimba Matumbo Kuzidi Hata Raia Wa Kawaida...hiyo Ni Ishara Ya Ulelemama! Jirekebisheni Wanajeshi Wangu!


Jigo

Mkuu hii thread haikufai waachie.. wise boy , gentemycen, na pdidy.
 
Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.
Endelea Kuamini usichokijua kwa faida yako
 
Rwanda!are you serious??Bange ni zao baya sana?

Nasema Hili Tena Kwa MSISITIZO Mkubwa ASKARI JESHI WA TANZANIA NI CHA MTOTO KWA WANAJESHI WA RWANDA NA NAKUHAKIKISHIA TPDF HAWANA UWEZO WA KUPAMBANA NA JESHI LA RWANDA LA RPF........NINA UHAKIKA NA HILI KWA 100%. TENA WASITHUBUTU TANZANIA ITAUMBUKA....WATUTSI NI HABARI NYINGINE KTK MEDANI ZA KIVITA NA MAARIFA.
 
kwanza nadhani ulitaka kusema RDF sio RPF, RPF kwa sasa ni chama tawala sio jeshi.

1. Ripoti ya UN iliyotoka wakati Rwanda ni mwenyekiti wa baraza la usalama iliweka wazi kuwa M23 walikuwa sio tu wanasaidiwa na hiyo RDF, bali walikuwa wamepenyeza mpaka batalioni za RDF humo.. Askari wetu hawa hawa mnaowaita vitambi ndio waliowachapa hao M23 including hao mamluki wa RDF. Mziki wa "vitambi" hao RDF wanaufahamu fika.

2. Hao RDF wameshindwa kuwapiga ex-FAR toka 1994 mpaka leo, wameweza kupindua nchi nzima ya DRC lakini wamewashindwa ex-FAR, mpaka ex-FAR wakajiunga na wakimbizi kutengeneza FDLR mwaka 2000. Tokea muda huo pia mkapa leo wapi! kila wakienda operesheni za kutokomeza FDLR wanachemsha, wanaishia kumalizia hasira zao kwa wakimbizi wa kihutu badala ya kupigana na wanaume wenzao. Hadi saa hivi Rwanda imeamua kuomba collabo za majeshi mengine EAC, kenya, sijui ethiopia kote huko kutaka kupigana na kikundi tu cha ex-FAR wa mwaka 1994? Hivi wangetuomba sie tupambane na FDLR unadhani ingechukua muda gani? Watu wanajiitaje wanajeshi halafu washindwe kupambana na waasi kwa miaka zaidi ya 20? halafu wewe unawafananisha na JW? Hao RDF hawana ubavu wowote wa kulinganishwa na JWTZ, tena kwa upande wa ethics ndio kabisa, saizi yao ni kama panya road kwa atrocities walizofanya DRC (refer to UN mapping report). Real soldiers kama JWTZ hawafanyi hivyo kwa defenseless people, vitambi or no vitambi!

Huna HOJA Ni Umeandika Full TITO and GIGO! Kuna Tofauti Kati Ya Kupambana Na Kundi La Waasi Na Wanajeshi wa Nchi Adui. Hata Hili Nalo Linakutaka Uwe Na B.A au M.A au PhD Kulielewa? Hivi Ubongo Wako Upo Sawasawa Wewe? Maelezo Mengi Halafu PUMBA Tupu! Sasa Kama Hao RDF Wameshindwa Kupambana Na Hao Waasi Basi Na Tanzania Ipeleke Jeshi Lake Kisha Ndipo Utawajua Wanyarwanda. Unadhani Nani Hajui Siri Ya Jeshi La Tanzania Kule DRC Chini Ya Bwana Misifa Mwakiborwa? au Unataka NIZIWEKE WAZI HUMU Tanzania Na Jeshi Lenyewe Liaibike? Huna Unachokijua Hivyo NYAMAZA Tu. M23 Hawakuondolewa Na Jeshi La Tanzania Bali Walizidiwa Nguvu Na Jeshi La Pamoja Lijulikanalo Kama FIB ( Force Intervation Brigade ) Lililojumuisha Nchi Tatu South Africa, Malawi Na Tanzania...Na Je Unajua Kipi Kilipelekea Jeshi La Tanzania TPDF Lilirudi Bongo Mapema? Je Unajua Ni Kwanini POPOMA Mwakiborwa Aliondolewa Ghafla ktk Ukuu Ule? Kwa Sababu Tu Za Kimaadili Naifichia SIRI na AIBU Nchi Ya Tanzania............Upo Hapo!
 
Acha dharau,wako fit,kama hauamini waulize m23,uliza comoro,na hata hao unawasifia wa Rwanda tunawafundisha sisi hapa Tanzania.
 
Wenye tumbo ni maafisa. Wanaokwenda front ni private hadi sajent. Ila wanaongozwa na makapten au majors. Wakubwa wanapanga logistic na kuangalia mbinu za kutumia. Hawana shida. Wanapata tu report.
 
Acheni kuwanyanyapaa wanajeshi wetu, kama mazoezi na kazi zao wanazimudu vizuri tu pamoja na kwamba wana hivyo vitambi wewe unakereka kwa lipi?
 
Wewe Una Askari Jeshi au Una Wasanii Tu! Ukitaka Professional Soldiers Ambao Wapo Very Intelligent, Focused, Courageous, Brave, Committed, Ethical na Very Respectful Nenda Nchini Rwanda. Askari Wa TPDF Wanamengi Sana Na Mno Ya Kujifunza Kutoka Kwa Wenzao Wa RPF........Ukweli Ndiyo Huo MKATAE au MBISHE.

wale rpf wanovaa badge za njano began? hawana lolote kwanza afya mgogoro, wanatembea route match from kirehe to rwamagana ulimi nje kama km 60 hivi, ndo uje uwapime na tpdf?
umekosa kazi, wadanganye wasoijua Rwanda na matatizo yake
 
Huna HOJA Ni Umeandika Full TITO and GIGO! Kuna Tofauti Kati Ya Kupambana Na Kundi La Waasi Na Wanajeshi wa Nchi Adui. Hata Hili Nalo Linakutaka Uwe Na B.A au M.A au PhD Kulielewa? Hivi Ubongo Wako Upo Sawasawa Wewe? Maelezo Mengi Halafu PUMBA Tupu! Sasa Kama Hao RDF Wameshindwa Kupambana Na Hao Waasi Basi Na Tanzania Ipeleke Jeshi Lake Kisha Ndipo Utawajua Wanyarwanda. Unadhani Nani Hajui Siri Ya Jeshi La Tanzania Kule DRC Chini Ya Bwana Misifa Mwakiborwa? au Unataka NIZIWEKE WAZI HUMU Tanzania Na Jeshi Lenyewe Liaibike? Huna Unachokijua Hivyo NYAMAZA Tu. M23 Hawakuondolewa Na Jeshi La Tanzania Bali Walizidiwa Nguvu Na Jeshi La Pamoja Lijulikanalo Kama FIB ( Force Intervation Brigade ) Lililojumuisha Nchi Tatu South Africa, Malawi Na Tanzania...Na Je Unajua Kipi Kilipelekea Jeshi La Tanzania TPDF Lilirudi Bongo Mapema? Je Unajua Ni Kwanini POPOMA Mwakiborwa Aliondolewa Ghafla ktk Ukuu Ule? Kwa Sababu Tu Za Kimaadili Naifichia SIRI na AIBU Nchi Ya Tanzania............Upo Hapo!

Toboa siri mkuu tuone nani mama na nani baba

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Huna HOJA Ni Umeandika Full TITO and GIGO! Kuna Tofauti Kati Ya Kupambana Na Kundi La Waasi Na Wanajeshi wa Nchi Adui. Hata Hili Nalo Linakutaka Uwe Na B.A au M.A au PhD Kulielewa? Hivi Ubongo Wako Upo Sawasawa Wewe? Maelezo Mengi Halafu PUMBA Tupu! Sasa Kama Hao RDF Wameshindwa Kupambana Na Hao Waasi Basi Na Tanzania Ipeleke Jeshi Lake Kisha Ndipo Utawajua Wanyarwanda. Unadhani Nani Hajui Siri Ya Jeshi La Tanzania Kule DRC Chini Ya Bwana Misifa Mwakiborwa? au Unataka NIZIWEKE WAZI HUMU Tanzania Na Jeshi Lenyewe Liaibike? Huna Unachokijua Hivyo NYAMAZA Tu. M23 Hawakuondolewa Na Jeshi La Tanzania Bali Walizidiwa Nguvu Na Jeshi La Pamoja Lijulikanalo Kama FIB ( Force Intervation Brigade ) Lililojumuisha Nchi Tatu South Africa, Malawi Na Tanzania...Na Je Unajua Kipi Kilipelekea Jeshi La Tanzania TPDF Lilirudi Bongo Mapema? Je Unajua Ni Kwanini POPOMA Mwakiborwa Aliondolewa Ghafla ktk Ukuu Ule? Kwa Sababu Tu Za Kimaadili Naifichia SIRI na AIBU Nchi Ya Tanzania............Upo Hapo!

1. RDF wameshindwa kupambana na ex-FAR since 1994 mpaka leo wanapounda FDLR, hii ni aibu! Huyo rais wenu PAKA a.ka pepe kale:A S wink: katishia kutupiga tumesubiri weeeee, mpaka leo kimya! hata kurusha karoketi kamoja?
2. Tanzania haijawahi kupoteza mechi toka enzi za kupambana na ukoloni, vita ya uganda na mechi ndogo ndogo kama comoro vs kanali nani sijui huko, M23 etc....
3. Hakuna siku yoyote Tanzania iliaibika vitani au kwingineko, hakuna sehemu yoyote ile iliyowahi kuripotiwa chochote kingine zaidi ya ushindi. Wewe kama unadai una siri za chini ya kapeti either ziweke hapa au kaa kimya. Siri gani hizo zisitoke BBC, CNN, Mwananchi au hata new times :A S wink:, ila uwe nazo wewe mwenye jina la ID kama antibaiyotiki za magonjwa ya zinaa?
 
Acheni kuwanyanyapaa wanajeshi wetu, kama mazoezi na kazi zao wanazimudu vizuri tu pamoja na kwamba wana hivyo vitambi wewe unakereka kwa lipi?

Inabidi Wamantain Body Sio Kuwa Na Muonekano Wa Kizembe.. Nashindwa Kumtofautisha Mwanajeshi Na Mnywa Mataptap Kwa Jinsi Matumbo Yalivyofutuka!!
 
Wenye tumbo ni maafisa. Wanaokwenda front ni private hadi sajent. Ila wanaongozwa na makapten au majors. Wakubwa wanapanga logistic na kuangalia mbinu za kutumia. Hawana shida. Wanapata tu report.

Kuna Mmoja Tuko Nae Hapa Mtaani, Alienda Kongo Na Kitambi Chake, Sasa Amerudi...Ukimuona Utamuonea Huruma, Anahema Juu Juu Tu.. Na Litumbo Lake!!
 
Back
Top Bottom