Recent content by msukuma01

  1. msukuma01

    Laptop yangu inarebot

    Nina laptop aina ya dell inspiron, shida ni kuwa nikiiwasha, pale mwanzon huwa kuna kialama flan ka dell, alaf kwa chini kuna kimstari kinakuwa kinasogea, kikifika mwisho ndo windows inaanza, lkn mm kangu hakifiki mwisho inaruka inaanza mwanzo tena km ndio nmeiwasha... Yaan windows haianzi...
  2. msukuma01

    Tuliosoma UG tukutane hapa

    Kuna kitu kilikuwaga kinaitwa sax pub, sijui wangap waliikuta
  3. msukuma01

    Msaada nataka ninunue pikipiki kwa ajil ya personal use

    Na mahindra vp? kuna mtu kanishauri kuwa nazo zipo poa
  4. msukuma01

    Msaada nataka ninunue pikipiki kwa ajil ya personal use

    Nahitaj mnishaut ni pikipiki gan nzur kwa ajil ya kuzungukia mizunguko yng ya kawaida tu na si ya biashara..na nahitaj iwe angalau sport kiaina.. Asanteni..
  5. msukuma01

    Italia kuwajengea nyumba wahanga wa tetemeko la ardhi

    Hata jeshi linaweza kupewa hiyo tenda na wakajenga vzur n cheaply
  6. msukuma01

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Hv kwa lugha nyepeze nikufundishe kitu, angalia elfu 10 ya leo na linganisha na ya miaka 10 au 15 iliyopita, angalia purchasing power yake ndio utajua kwann pamoja na kukusanya hayo trilions stil hayaonyeshi kufanya kaz kubwa.. Those r just figures, km mtu mwngne anaweza kuwa na umri mkubwa lkn...
  7. msukuma01

    Erick Shigongo ni mmoja ya wana CCM waliokopa Twiga Bancorp?

    Jamn na sisi wengne hatujauona waraka, mwenye nao atuwekee hapa
  8. msukuma01

    Msukuma amfukuzisha kazi mkuu wa shule

    *MBUNGE MH MSUKUMA AAGIZA MWL MKUU AVULIWE MADARAKA KISA KAZUIA WANAFUNZI KUVAA NGUO ZA CCM KWENYE GRADUTION* AVULIWA UKUU WA SHULE KWAKUZIA SIASA SHULENI. Wiki iliyopita Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Maarufu kama Msukuma alimvua ukuu wa shule ya Sekondari Kasamwa bwana Denissi Otieno kwa...
  9. msukuma01

    Nataka kusomea urubani

    Kwa tanzania utapoteza muda wako, nenda south africa..ndio wanaoongoza kwa vyuo vizuri Africa nzma.
  10. msukuma01

    Nataka kusomea urubani

    Kaka kwa Tz hamna chuo cha maana..km unataka ufanikiwe ktk urubani na unataka ufike mbali, vyuo vizur vipo south Africa, ila andaa kama million 100 hv.. Shida ukisoma tz ni wapi utapata kaz. Tz hamna ndege za kutosha.. Pia baada ya kusoma unatakiwa upate mazoez ya kutosha na kutengeneza masaa ya...
  11. msukuma01

    Tundu Lissu: Mtunzi Katiba ya kidikteta CHADEMA aliyegeuka mwigizaji filamu wa kudai ‘’Demokrasia’’

    Hv kweli unashindwa kulala sababu ya lissu. Umekosa kabsa kazi ya kufanya unaingia humu na fake account kuandika tu kuhusu lissu. Badala ukae ufikirie maendeleo unakaa kumfikiria mwanaume mwenzio. Nyie ndo wale wenye elimu ya kuungaunga ya vyeti fake. Ndo maana watanzania tunaitwa vilaza kwa...
  12. msukuma01

    Nauza line za Airtel kwa jumla zipo kumi

    Line za airtel money ama airtel?
  13. msukuma01

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Inategemea na aina ya king'amuzi. Vya zamani ndo channeli za nchini zilikuwa bure ila vya siku hizi lazima ulipie, la sivyo utaishia kuangalia tbc tu
Back
Top Bottom