Recent content by Msovy

  1. M

    UDSM kwa sasa ni cha kata, imebaki historia tu

    mkuu mbona unamsulubu hivyo huyu dogo?
  2. M

    Niliapa na nilimaanisha Kazi imeisha Yanga SC anakufa 'nyingi' tarehe 11 Disemba, 2021 Wana Simba SC wote 'furikeni' Uwanjani

    ngoja huyu popoma awadanganye tuu, mtakacho kutana nacho hamta amini macho yenu
  3. M

    Rais Samia, usijenge Bandari ya Bagamoyo utaiua nchi kabisa

    hii bandari ikijengwa, tutalia na ngugai na mkwere, mama yeye ni muunguja ………………...
  4. M

    Wataliban wamewawaaibisha Wamarekani

    Taleban hawaruhusiwi kuisogea Aiport ya Kabul kwa namna yoyote ile, wamarekani wamepiga kambi hapo!
  5. M

    Wataliban wamewawaaibisha Wamarekani

    wa taleban ni makamanda kweli kweli, ndani ya mwei mmoja tuu wamei kamata nnchi
  6. M

    Hongera Dkt. Mwinyi panapo nia utaitibu Zanzibar

    kilicho fanyika Zanzibari ni Zaidi ya dhuluma
  7. M

    TFF ya Karia yaanza kuifanyia Yanga ‘fitna’…….Yatangaza ’Mohamed Isa Banka’ ni mchezaji wa Mtibwaa!

    TFF ni ile ile tuu, maamuzi yoote ni ya u -simba na u-yanga kwa kwenda mbele
  8. M

    Lundenga ajitoa Uandaaji wa Miss Tanzania!

    kaisha chukua chake, sasa anasepa kimtindo!
  9. M

    Vituko vya 'Maandazi Republic'?

    yaani waishukuru sana miungu yao kuwa wa Tanzania wengi ni mazoba!
  10. M

    Beki wa Yanga Hassan Kessy Kuburuzwa Mahakamani na Simba SC!

    Kwa kweli viongozi wa simba majanga kweli kweli
  11. M

    Gazeti la Habarileo laudanganya Umma: ‘Faini ya Sh mil 128 yaisubiri Yanga’

    Lakini hili gazeti sini la serikali?
  12. M

    Hamis Kiiza 'Diego' aipasha Simba SC!

    Kweli Simba ni sikio la kufa! yaani mnarudia kosa lilelile kila mwaka?
  13. M

    Hamis Kiiza 'Diego' aipasha Simba SC!

    Hahaaa, hiii siyo rahisi, viongozi wa kiafrika wanatolewa bakora na mitutu ya AK-47!
  14. M

    Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

    Nimeshangaa sana kusikia kuwa kabla ya 2005 Kitila alikuwa CCM, Kumbe miaka ya mid to late 1990's tulipokuwa DARUSO tukifanya harakati za chuo kumbe mwenzetu alikuwa kada wa CCM huku akitudanya kuwa yeye ni mpiganaji na mpinzani 4 life? Nilikuwa naamini hukumu aliyopewa CDM alionewa ila sasa...
Back
Top Bottom