adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 2,887
- 4,386
Watoto wadogo kamwe hawawezi kuelewa hizo mambo.Hujui ulisemalo..... Haya mambo yanataka uwe na elimu hata ya wastani tu
View attachment 1894546
Watoto wadogo kamwe hawawezi kuelewa hizo mambo.Hujui ulisemalo..... Haya mambo yanataka uwe na elimu hata ya wastani tu
View attachment 1894546
Acha uongo wewe hao Taliban waue watu airport kwa kutaka nini,,, naona wengi wenu mnatamani kuona vita pale ili mpate ya kuongeaWameua watu watano Airport ya Kabul jana.
Acha uzandiki.
Taleban hawaruhusiwi kuisogea Aiport ya Kabul kwa namna yoyote ile, wamarekani wamepiga kambi hapo!Wameua watu watano Airport ya Kabul jana.
Acha uzandiki.
yaani wanywa gongo na 'mateja' kama haya ndiyo wame lifukuza jeshi la bebeeru kutoka Kabul! hahaaa hahaaahongereni sn kama uyu afisa trafiki wa taleban...= ? mbowe vipiii
View attachment 1895288
Hao wanokimbia ni walokuwa vibaraka wa usaSasa kama hakuna taaruki hawa wanaokimbia nchi yao ujui wanakimbia kwa nini !View attachment 1894474
View attachment 1894475
View attachment 1894476
View attachment 1894477
We muongo, utaratibu wa kuondoka ulianza kipindi cha trump na hilo jambo kuwekwa waziungekuwa unazijua vizuri siasa za beberu mkuu ungekaa kimya..
Hivi unafahamu beberu mkuu aliondoka Afghanistan bila kumpa mtu yeyote taarifa hata serikali haikujua kama anaondoka..? Jiulize kwanini?..
Kazi yao nyumbani ni moja tuTaliban walisema Wanawake walio makazini wasirejee tena kwenye kazi zao
Hili ni balaa zito mno