The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,233
Wazungu kuna nchi wanaziita 'Banana Republics'
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
Sababu nchi hizo zinakuaga very unstable na corrupt sana...na kawaida huwa
zinaongozwa na dikteta asietaka ushauri.....na hali ya kiuchumi huwa mbaya sana...
Sifa nyingine ya Banana Republic huwa haziheshimu katiba wala utawala wa Sheria
lolote linaweza kutokea bila kujali sheria zinasemaje...
Nimejiuliza baada ya kuona yoote tuliyo yaona wiki hii na wiki iliyopita
hatupo kweli 'maandazi Republic'?
Hivi kuna nchi yoyote ile ambayo ina vituko kama vyetu?
Kuandaa mapambio na vibwagizo eti kwenye mkutano wa kupambana na madawa ya kulevya?
kweli?
Wale wale watuhumiwa nao kugeuka 'wasemaji ' na wapambanaji?
kweli?
kumbe hata bajeti tu ya mapambano ni sifuri..
Vituko vimekuwa viingi kwenye hiii Maandazi Republic...
full mizaha na kukomoana tu....hakuna kitu serious kabisa
Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?