Nadhan hawastaili jukwaa lolote maana huwa wanapost picha zao na kuandika hawapendagi kabsa so uku itawawia ngumu sana maanake huku akuna kupost ulichokula wala unacho vaa bila reason
Mama ameshatembea na waafrika wangap mpaka kufikia kusema wanalongolingo bara nzima, ameshatembea na wazungu wangap na wa nchi zip ambao wamempa ukaki juu ya swala la mapnz kwao?dah mkataa kwao....
1) mtu kutambua makosa ya awali azirekebishe mfano kama hukuwa na vitabu uingie sokoni kununua, pili kama ulikuwa huna mwalim wa somo/masomo uliyo feli zaidi ukazane tuition tena za uhakika
2)kutulia wakati unafundishwa na pia wakati unasoma mwenyewe(person study)
Tatzo lingine huwa watu hawa...
Mbona mkuu unawapa maneno ya busara kiasi hiki"fadhila hulipwa" ameshindwa kulipwa aende uko anapo penda zaidi,,,,, angalao kwa miaka miwili au mitatu kifurushi ch kikiisha atafte kwingine tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.