Wakuu,
Nimeipata hii kutoka Dodoma. Kama hali iko hivi, basi nadhani ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuna kazi nzito.
Vita vya panzi, tijara ya kunguru, inawezekana wakapita wasiotarajiwa kama wakati wa kura za maoni za urais.
===================
MPANGO WA WANAMTANDAO KUMCHAFUA CHARLES...
Wakuu, haya ni majanga na tunapaswa kuyakemea kwa nguvu zote.
Nimeikuta hii, very interesting na tunaweza kuunganisha nguvu kupambana...
PRISCA Shaaban Mpesya (29), mkazi wa Kitongoji cha Kikonde, Kijiji cha Kaoze katika Kata na Tarafa ya Kipeta wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa, alikuwa...
SAA chache baada ya gazeti tando la FikraPevu kuripoti kuhusu shule yenye wanafunzi 195 kufundishwa na mwalimu mmoja, tayari Serikali imetuma mwalimu mwingine.
Kuwasili kwa Mwalimu Charioni Mpombo kutoka Shule ya Msingi Tingi, katika Kata ya Tingi wilayani Nyasa kutainusuru shule ya Matarawe...
Mr. Mtui, nadhani hata hapo ameonekana pia. Halafu kumbuka Jane Goodall alikuja na kuzama msituni huko Gombe akijifunza tabia za sokwe, lakini leo anafahamika kimataifa.
Kwahiyo siyo lazima ukae mjini au mahali gani ndipo uonekane, jitihada zako pekee ndizo zinazokufanya uonekane na ufanikiwe.
Profeshno!!!!!! Hahahaha... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Safi sana! Hapo tu ndio ninapokupendea!
Akijileta unapita nae tu.. Kwenye Bio Insta umeandikaje?!
*Paper Chaser*[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahaha nilijua tu nitaitwa hater! Sasa hapo ninachohate ni nini? Au why niwe hater?
Hebu nipe sababu moja tu ya Mimi kuwa hater. Nimekosa nini hapo unapopababaikia?!
Sasa unachopaniki ex ni nini? Kwanini uhisi nina lengo hasi km ulishamweleza jamaa kuwa unao exes?!
Me nawatakia heri ya dhati wala sio unafiki.. Hayo mambo ya kiporo nimetania tu, acha kujaa!
PS: Take a gud care of that little **** Of ours!
Mweh,, nilikuwa wapi??? Nifah ndio ushakuwa ex??! Saaalaaaleeeh!!!
Anyway, I wasn't planning on taking our thing any far so am glad that you found ur path right away... Congratulations!
Nisiwe mnafiki, mkuu The bold hapa itabidi uniruhusu niwe nakudowea tu japo mara moya moya, si wajua tena...
Leo nimepita kwenye mtandao DW Swahili nikakutana na makala ya kusisimua sana inayohusu taarabu asilia kutoka visiwani Zanzibar..
Napenda sana muziki wa taarabu asilia.. Sielewi kwanini huku bara mziki huu haujapenya kihivyo, lakini burudani ya vinanda na sauti za akina Gamba, Rukia, Fatma na...
Kuna watu bado hawajapata usahihi wa anachokisimamia Maxence Melo hasa kile ambacho leo kimebainika kuwa ndicho kiini cha shtaka lake la kwanza na la pili. Ili kuwasaidia kupata mwanga, nimejaribu kutafsiri kesi ya mapambano ya kisheria kati ya Kampuni namba moja kwa teknolojia ya mawasiliano...
Serikali imewataka wamiliki wa nyumba mkoani Dar es Salaam ambao nyumba zao zina wapangaji, kuhakikisha wanakuwa na picha za wapangaji wao wote ili kuwatambua na kupunguza uwezekano wa kuhifadhi wahalifu.
Agizo hilo limetolewa leo na Kamishna wa Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam John Msumule mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.