Mkuu nakuonea huruma kwa sababu hujui ulitendalo. Katika sehemu zote ambazo zinahitaji kujaza majina huwaga kuna jina la kwanza, jina la pili na jina la ukoo, hiyo hata kitumishi kama kijana wako anahitajika kushika nyadhifa serikalini basi vetting yake inaanzia kwenye ukoo wake ili kujua...
Hakunaga mkataba wa hivyo hata siku moja mkuu. Mimi siwezi kukuuzia kitu halafu nikakupangia namna ya wewe kukiuza. Mpaka Yanga wanamuuza Fei maana yake hawana tena mamlaka juu yake
Mimi nilivyoona tu herufi 6 halafu nimeona hapo juu ni Zanzibar, nikamalizia kuhesabu herufi za jina Feisal basi nimeamini kuwa ni Feisal anaenda Simba
Sisi watanzania sijui nani katuroga, wakati wakenya wanatusifia kwa maamuzi yetu sisi tupo hapa kulalamika. Binafsi nasema serikali imefanya vizuri sana ishikilie hapo hapo tena ikibidi iongeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.