Jina tu utataNime nunua simu inaitwa TATA naomba kujua sifa zake
Napenda Samsung hapa katikati kuna Wahuni waliniingiza Google Pixel nilichokutana nacho sirudii tena kule kubababek bora nibakie team SamsungMwisho wa siku nunua simu unayoipenda. Mimi napenda sana Xiaomi. Wewe unapenda simu gani?
Kwa wale wanaopenda simu ndogo halafu nyepesi lakini na nzuri nawashauri jaribu kutumia Samsung S 24 plain hutojutia. Haka kasimu ni kazuri aiseeNamba 7 (kioo) ndio pigo la Samsung kwa wapinzani wake. Samsung display iko very smooth, we chukua hata a15 uone balaa lake.
Samsung ina feature nyingi, yaani inakupa kila kitu ambacho mteja anakitaka. Udambwidambwi umejaa saana Samsung.
Usitamani kuishika S21-25 Ultra ambazo zimekuja na kioo ORIGINAL kutoka Samsung. Aiseee unaweza tamani ukimbie na hiyo.
GoodKwa wale wanaopenda simu ndogo halafu nyepesi lakini na nzuri nawashauri jaribu kutumia Samsung S 24 plain hutojutia. Haka kasimu ni kazuri aisee
Plain zote ziko poa na umbo dogoKwa wale wanaopenda simu ndogo halafu nyepesi lakini na nzuri nawashauri jaribu kutumia Samsung S 24 plain hutojutia. Haka kasimu ni kazuri aisee
Kuna hii motorola edge 60 pro, nafikiria kuchukua hii au s24 ultra. Hii motorola ina display kali saana.Altenative za Samsung ni Motorola
Natumia Redmi Xiomi 10c toka 2022 ila changamoto yake kubwa ni kioo kuchezacheza na kujibonyeza bila kuguswa, hii hali inanikera sana hadi nimeichukia hii kampuni...unaweza mpigia mtu ukashangaa imeanza kurecord mazungumzo yenyewe ,mwanzon niliipenda hii kampuni nikasema nitanunua redmi 13 au 15 ila nimeghairiCurrently Natumia Xiaomi mi 11 lite nafikiria Kuhamia Xiaomi mi 13T Pro nafata Big Screen size, Under Display optical fingerprint, Big Battery.... Storage 256/12
Nimeona Ona Sehemu Kadhaa kama Mbili hivi kwa TZ used wanasimama na around 600K.
Is it Worthy it in terms of Money na Ku upgrade??
If not, What are your suggestions all Around 500K-600K kwa kuzingatia hivi walau
Dual Sim
Screen Display 6.7+
Fingerprint Iwe under Display optical
Storage config ya 12/256
Snapdragon/mediatek dimensity tucheze humu (4 nm)
Battery walau 5000Mah+