Elimu waliyopewa imewadumaza kwasababu ni aina ya elimu ambavyo haikufanyi ujitambue na kutambua mambo kwa wepesi. Mimi wakati nakuwa nilikuwa nawasikia ndugu na jamaa wakisema "mimi nimesoma nimefuta ujinga" lakini kadiri ninavyo kuwa nashanga, ujinga upi walioufata huko shuleni! Mbona bado...
Hawa ccm bila kupelekewa moto hawawezi elewa kitu, nahuko mbele watazuia maandamano na mikutano ya hadhara kwani niwazi hawawezo siasa za ushindani na hoja. Yote kwa yote nikuwapelekea moto tu nakuendelea kuelimisha umma juu ya madhila ya ccm na namna wanavyonufaika na ujinga wetu.
Nilijaribu kupitia Mitandaoni kuangalia kinachoendelea nakugundua Lissu ana Ubongo wa kipekee sana. Anaijua hii nchi na watu wake tofauti na tunavyodhani, ndio maana kauli zake hutafsriwa negative na wale wenye ubongo hafifu.
CCM wanamuelewa sana nini Mwamba anamaani shida yao wahahofia...
Tuna cha kujifunza huko Senegal baada ya Chalii wa miaka 44 kuelekea kuchukua Nchi.( Uraisi) kilichonivutia zaidi ni namna Wananchi wa Taifa lile walivyo naujasiri kumkabili bila woga Raisi aliyekuwa madarakani pale alipotishia kuahirisha Uchaguzi. Maandamano bila kikomo yalimfanya asaliti amri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.