Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 12,546
- 23,614
Ndoani kuna mengi...ni kweli mkuu wanawake walio kwenye ndoa wamekuwa wakijirahisha,
na mbaya wengi wao ni walevi na ulokole wao wa kinafki!
ugomvi kidogo tu atajinunisha na kujidai ana stresss ili akaliwe nje!
Mke mfanye kama rafiki na likija suala la show be bad boy