an alpha male
JF-Expert Member
- Mar 28, 2022
- 858
- 1,805
Kweli tena wewe jaribu kwangu uone kama nitakuchomoleaWee sema kweli?
Kweli tena wewe jaribu kwangu uone kama nitakuchomoleaWee sema kweli?
em trokaaaah!!
Wanawake wengi ambao hutongoza....wengi huwa wana sura zisizofurahisha macho niishie hapa.
Huyu labda anibake tena nikiwa nmelewa vinginevyo sitaki.Kweli sio wore ni baadhi tu, ila mkubalie mwenzio sio vizuri😅
Ndivyo nifanyavyo tajiriKama hujihisi kumuhitaji muache asije juta mbeleni.
😁😁😁 Bora ukazikwe lkn sio kimuambia... Acha uzamani huo Mcheki hata kwa sms tuNasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Hapana, naogopa.Bora ukazikwe lkn sio kimuambia... Acha uzamani huo Mcheki hata kwa sms tu
Uko poa?Sawasawa
Nko saf za weweUko poa?
Somo la kujiamini binafsi hujafundishwa? Kwa nn uogopeAkaa! Naogopa.
nakujia PMKweli tena wewe jaribu kwangu uone kama nitakuchomolea
MxxxxiiiiieeeewShiondoki
Mwanaume hatongozwi.Somo la kujiamini binafsi hujafundishwa? Kwa nn uogope
Poa. Unakuja lini mjini?Nko saf za wewe
Mwisho wa mwezi huPoa. Unakuja lini mjini?
Ok.Mwisho wa mwezi hu
24
Ngoja kwanza niuze hiki kiwanja Cha urithi nije nikukwapue😉Mxxxxiiiiieeeew
Fanya fastaa ukuje.Ngoja kwanza niuze hiki kiwanja Cha urithi nije nikukwapue
Au nikiache tuje tuweke kiota chetu hapaFanya fastaa ukuje.