Nchi inakaribia kupasuka

Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua
Umetia Aibu kubwa mno
 
KAMFUFUE NYERERE UMUULIZE NA KIMBELE MBELE CHAKE,NANI ALIMTUMA KUSHOBOKEA WAZINZAR NA KUTAKA KUUNGANA NAO??

MCHUKUE NABII WA UFUFUO NA UZIMA MKAMFUFUE KISHA MPELEKENI KWA MWAMPOSA AKAKANYAGE MAFUTA YA UPAKO KISHA MUULIZE..!!
Zanzibar tumesanda mnajifanya hamtaki muungano huku nyie mnafaidi, ondokeni
 
Humuwezi Lissu hata ukusanye Majini yote unayoyamiliki wewe na jamaa zako
NIMUWEZE LISU MIMI WA NINI??AU LABDA KAMA WEWE UNGEPENA AWE MUMEO MAY BE,LISU ZILE RISASI ALIZOPIGWA NA MWENDAZAKE ZIMEMVURUGA,WE UNADHANI YUKO SAWA YULE??
 
Moja sababu ya nchi kupasuka ni. Uvunjaji wa katiba.
CCM wako kimya katiba inapovunjwa Ila waรฑakuwa wakali pale watu wanapohoji
 
Zanzibar tumesanda mnajifanya hamtaki muungano huku nyie mnafaidi, ondokeni
MWENYE SHOBO NA MUUNGANO NI NYINYI WATANGANYIKA NA SIYO WAZANZIBAR,HATA CHANZO CHA SHOBO NI KAFIRI MWENZENU NYERERE,SASA MNAWAPA LAWAMA WAZENJI KWA LIPI??PAMBANANE NA HALI YENU,KAMA MNATAKA KUUVUNJA VUNJENI TUH,KELELE ZA NINI SASA.
 
MWENYE SHOBO NA MUUNGANO NI NYINYI WATANGANYIKA NA SIYO WAZANZIBAR,HATA CHANZO CHA SHOBO NI KAFIRI MWENZENU NYERERE,SASA MNAWAPA LAWAMA WAZENJI KWA LIPI??PAMBANANE NA HALI YENU,KAMA MNATAKA KUUVUNJA VUNJENI TUH,KELELE ZA NINI SASA.
Aondoke kwanza maza enu
 
Back
Top Bottom