Ni kawaida tu..
Chukulia tu kwenye maisha ya kawaida iwe ni msibani ama kwenye sherehe mwenye nacho akisema lazima usikilize tena kwa makini lakini akisema maskini unaona anakuchosha tu.
Angalia set ya kwanza ya cards unazopewa,nakiri maua yake na herufi zake..alafu angalia hiyo incomplete set unayopewa mwishoni.
Utagundua kwamba nitofauti kabisa na ile ya mwanzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.