Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 13,343
- 20,797
Ni takribani wiki moja sasa matangazo ya Star TV hayapatikani kabisa katika king'amuzi cha Star Times!
1. Je Star TV imejitoa tena kama ilivyowahi kufanya?
2. Je ni matatizo ya kiufundi?
Tafadhali tujuzwe maana ni haki yetu kupata matangazo kutoka katika TV hii!!!
1. Je Star TV imejitoa tena kama ilivyowahi kufanya?
2. Je ni matatizo ya kiufundi?
Tafadhali tujuzwe maana ni haki yetu kupata matangazo kutoka katika TV hii!!!