Recent content by msema kweli 02

  1. msema kweli 02

    Mkutano wa CCM Arusha Kesho

    Wakuu Jf, Tokea Jana mapema Gari la matangazo limekuwa likipita maeneo mbalimbali mini Arusha Kuwait Luna Mkutano utakao fanyika maeneo ya Kilombero karibu na Hospitality ya Levolosi. Msisitizo wa kufika ni mkubwa kutokana na Ajenda walizokuwa wakisema kwamba watazungumzia.
  2. msema kweli 02

    Mchungaji aliyekuwa CHADEMA ajiunga cuf muda huu

    Mchungaji gani huyo? Chezea Mchungaji we we!!!
  3. msema kweli 02

    TANESCO wasipandishe viwango vya bei ya umeme

    Mkuu, Mimi binafsi chili jambo la Tanesco limeniuma sana,hasa kauli ya Naibu Waziri.
  4. msema kweli 02

    Rais Kikwete kupangua Baraza la Mawaziri

    Mkuu siyo kweli kwamba ccm inakufa utajuaje kama wanajimarisha!!?
  5. msema kweli 02

    Sijaona tofauti ya vyama ya Upinzani na Ccm.

    Ndugu zangu wana Jf, Nimejaribu kufanya utafiti wa kina kutaka kujua tofauti katika Utendaji wa viongozi wa Kisiasa wa Upinzani na Chama Tawala hasa Wabunge katika Majimbo yao wanayosimamia kuleta Maendeleo kwa Wananchi. Nimejaribu kujikita katika Mikoa 4 ambao Wabunge wengi ni wa Cdm na...
  6. msema kweli 02

    Fundi Tanesco alipukiwa na umeme

    Tanesco yetu.:frusty:
  7. msema kweli 02

    Tundu Lissu aibuka shujaa Bungeni: Mapendekezo ya Werema kuwabana wanahabari yatupwa nje

    Mimi bado sijaona kitu hapa-sana Ushabiki wa kisiasa.:frusty:
  8. msema kweli 02

    [Putting Record Straight] Dr. Getrude Lwakatare (Mlima wa Moto) sio Sehemu ya TAG

    Haya ndiyo Madhara ya Watumishi wa Mungu kukubali kujiunga na maswala ya Siasa,kwasababu ungekuta huyu Mama Lwakatare hajakubali kuwa Mbunge akaendelea na Huduma ya Mungu haya yooooote yangetokea wapi!!
  9. msema kweli 02

    Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

    Sasa tujifunze nini sisi kama Wanachama cdm katika matokio haya ya Aibu.!!.
Back
Top Bottom