Habari zenu wakuu...
Nimekua nikiperuzi websites maarufu kwa mauzo ya magari kutoka Japan yaani SBT na Be Forward...
Naona gari zimekuwa na bei kubwa sana ukicompare na kipindi kifupi kilichopita.
Yaani hizi ndogo mf. Allex, IST, Honda Fit, nk zote zinachezea kuanzia 17M hadi 22M wakati...
Ukiwa na uwezo ndugu, unapeleka tu hata ISM, or cambridge(kila mtu anawish hivyo)...
ila kama wewe ni mfanyakazi wa halmashauri, unawatoto wa 4, unapambana kuwapeleka EM wote, unashindia mihogo...then goodluck
Elimu ni bure(shule za serikali). Hiyo 60% umeitaka mwenyewe. Ila kwa walioamua kuipa serikali mzigo, wamewapeleka watoto kayumba.
Miaka 15 ijayo, wanakutana pale psrs interview, na wanaajiriwa same salary 😄
Mnamlaumu mzazi bure tu. Huyo ni mtu mzima, kasoma hadi masters, tena ya medical, maamuzi aliyoyafanya ni yeye....na huyo jamaa aliyemuacha atatafuta pisi nyingine, anaendelea kutembeza mshedede
Wanafanyaje? Maana kinahitajika kitambulisho kununua tiketi na wakati wa kupanda.
Na hela unalipia lwa control number. Hii ya kununua kwa mtu inakuaje?
Tafuta mtoto hata sehemu nyingine bro. Ingekua wewe husimamishi, hiyo miaka mi5 asinge kaa hapo.
Kama unajiamini uko fit, tafuta kwingine. Wakati unaendelea kumtibu. Ikishindikana basi.
Nyingi tu...ni utaratibu wa kawaida, mwaka jana sisi tulipigiwa baada ya wiki 3 tukaanza.
Kuna dada alipata nursing , alipigiwa baada ya miezi mi4. Na kazi ya private alikua ashaacha...akafulia kinyama
Yaani kuitwa kuanza kazi napo kazi, unasubiri hiyo simu haipigwi...😄.
Huo uhakiki wanapekua nini sijui, miezi miwili.
Kama unakazi nyingine, usiache immediately ukiona jina kwenye mkeka, utafuria mpaka sio vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.