Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,298
- 2,060
Hataa buku hiki hapanaa🤣🤣Andaa laki 9 nicheki wasap kwa sample zaidi 0655073009.
Hataa buku hiki hapanaa🤣🤣Andaa laki 9 nicheki wasap kwa sample zaidi 0655073009.
Jibu hili hapa sasa zunguka zunguka unyonyolewe manyoyaNenda Banda la Maonyesho la JkT utapata
Hakuna shida mkuu samahani kwa kukufanya ucheke.Hataa buku hiki hapanaa🤣🤣
Im sorry mkuu.
Nisha pata jamaa anachonga kwa 600000Hivi kwanini Keko kuna matapeli wa kutosha kwenye hili eneo la biashara ya samani? Nisaidie nipate waaminifu. Huku mitaani wengi hawana mashine/vifaa vya kiasa, hivyo finishing zao zinakuwa za viwango vya chini hata kama mbao zitakuwa Mninga.
Wapi hapo kinauzwa hivyo?Nisha pata jamaa anachonga kwa 600000